bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Hatimaye ni miezi kadhaa sasa imepita tangu tuambiwe Manzoki kapanda ndege kutoka China kwa ajili ya kuja kusinya pale Simba.
Ajabu Manzoki hafiki tu, sijawahi kufika China nisiwe mwongo sijui umbali wa kutoka china hata Tanzania ni miezi mingapi ila naimani humu kuna watu wamefika China watusaidie ni miezi mingapi.
Sitegemei kama Manzoki anakuja na Meli za mizigo manake viongozi wetu wana Simba walitwambia jamaa anakuja na Ndege tukusanyike Airport na maua yetu kwa ajili ya kumlaki Mwamba.
Kama kuna mwanasimba anataarifa sahihi ni lini ndege inafika ni vema akashare nami taarifa ili nijiandae kwenda airport.
Ntashukuru kwa Taarifa wanasimba wenzangu.
Ajabu Manzoki hafiki tu, sijawahi kufika China nisiwe mwongo sijui umbali wa kutoka china hata Tanzania ni miezi mingapi ila naimani humu kuna watu wamefika China watusaidie ni miezi mingapi.
Sitegemei kama Manzoki anakuja na Meli za mizigo manake viongozi wetu wana Simba walitwambia jamaa anakuja na Ndege tukusanyike Airport na maua yetu kwa ajili ya kumlaki Mwamba.
Kama kuna mwanasimba anataarifa sahihi ni lini ndege inafika ni vema akashare nami taarifa ili nijiandae kwenda airport.
Ntashukuru kwa Taarifa wanasimba wenzangu.