mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
TRA imesema kuwa mwisho wa usajili wa pikipiki hizo kwa hiari unaelekea ukingoni. Hivyo basi, amewaomba ambao hawajasajili wafanye hivyo mapema ili kuepukana na usumbufu wanaoweza kukumbana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa kweli muda walioutoa na kuuongeza ni wa kutosha sana, siamini kama hatua zikianza kuchukuliwa watalalamika wadau wa usafiri huo.
Ahsante!