Usajili wa Simba kuwekwa hadharani leo, Mwanasimba kaa mkao wa kunogesha furaha

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Taarifa ya usajili itakujia leo kupitia Simba App [emoji336]

[emoji935] Saa 7:00 mchana shughuli zote zitasimama kwa muda kupisha utambulisho wa mabingwa wa nchi.

Shughuli yote kwenye Simba App [emoji2]





View attachment 2080627
 
Tuiombee Simba inapitia magumu, jeuri yote kwisha.

Hawa ndio walikuwa wakitamba wanataka kucheza na Barcelona.[emoji16][emoji16]
Sasa mkuu,, Barcelona unaiona ni timu ya kutisha kwa Sasa?? Au hufuatilii vzr??
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Taarifa ya usajili itakujia leo kupitia Simba App [emoji336]

[emoji935] Saa 7:00 mchana shughuli zote zitasimama kwa muda kupisha utambulisho wa mabingwa wa nchi.

Shughuli yote kwenye Simba App [emoji2]





View attachment 2080627
😁😁😁 Bamutu ba simba bana maneno mingi sana! Ila bakija uwanjani, banaruka ruka tu na kukanyagana! 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…