endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,297
- 1,877
Mashabiki wenzangu wa Simba,Poleni sana na Majeraha ambayo bado mnayo nami nikiwemo.
Timu yetu Simba sio mbaya nikiri hivyo.Ila mapungufu tukubali yapo bado.
Binafsi nashangaa mnomno kutokusajiliwa kwa Striker mwenye kariba ya MK14.Mfano leo Jamaa walikula naye sahani moja akigeuka tu anakabwa kama mhalifu aliyekumbana na Polisi.Angesajiliwa mwingine angetoa msaada sana kwakweli.
Chondechonde kwa viongozi wetu wafanye mpango wa kusajili mshambuliaji Jamii au hata zaidi ya Kagere kwa baadae hata dirisha dogo.
Wamekwama wapi hawa viongozi na Wabrazil waooo ????
Timu yetu Simba sio mbaya nikiri hivyo.Ila mapungufu tukubali yapo bado.
Binafsi nashangaa mnomno kutokusajiliwa kwa Striker mwenye kariba ya MK14.Mfano leo Jamaa walikula naye sahani moja akigeuka tu anakabwa kama mhalifu aliyekumbana na Polisi.Angesajiliwa mwingine angetoa msaada sana kwakweli.
Chondechonde kwa viongozi wetu wafanye mpango wa kusajili mshambuliaji Jamii au hata zaidi ya Kagere kwa baadae hata dirisha dogo.
Wamekwama wapi hawa viongozi na Wabrazil waooo ????