Usajili wa simba wa Billion 1.5 ni kwaajili ya kuzifunga timu ndogo tu au

Usajili wa simba wa Billion 1.5 ni kwaajili ya kuzifunga timu ndogo tu au

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Klabu ya simba sc pasi na shaka wamekuwa tishio sana kutokana na kufuru yao ya usajili haswa magazetini.Klabu hiyo imekuwa ikijitapa kuwa imetumia kiasi cha 1.5 Billion kufanya usajili tu wa wachezaji na target yao ni kombe la shirikisho lakini cha kushangaza licha ya kufuru hizo lakini wamekuwa wakipata tabu kupata goli pindi wakikutana na vilabu vikubwa nchini tumeona mechi ya ngao ya hisani simba ikitoka suluhu na yanga ,leo pia wametoka suluhu ya kutofungana na Azam lakini wakicheza dhidi ya Ruvu ,Gulioni fc huwa tunaona wakifunga magoli ya kuogopesha

Simba sc mnaniogopesha kama Azam,yanga mnawashindwa vipi kwenye mashindano za kimataifa "ambayo mnasema ndio target yenu ndio sababu mkatumia 1.5B kusajili" mkikutana na vilabu vya Afrika kaskazini si mapema mtafurumushwa
 
Uchochezi wa waziwazi inabidi upimwe kinyesi.
 
Klabu ya simba sc pasi na shaka wamekuwa tishio sana kutokana na kufuru yao ya usajili haswa magazetini.Klabu hiyo imekuwa ikijitapa kuwa imetumia kiasi cha 1.5 Billion kufanya usajili tu wa wachezaji na target yao ni kombe la shirikisho lakini cha kushangaza licha ya kufuru hizo lakini wamekuwa wakipata tabu kupata goli pindi wakikutana na vilabu vikubwa nchini tumeona mechi ya ngao ya hisani simba ikitoka suluhu na yanga ,leo pia wametoka suluhu ya kutofungana na Azam lakini wakicheza dhidi ya Ruvu ,Gulioni fc huwa tunaona wakifunga magoli ya kuogopesha

Simba sc mnaniogopesha kama Azam,yanga mnawashindwa vipi kwenye mashindano za kimataifa "ambayo mnasema ndio target yenu ndio sababu mkatumia 1.5B kusajili" mkikutana na vilabu vya Afrika kaskazini si mapema mtafurumushwa
Kwani azam na yanga unazidharau? Pia nazo zimesajili na ni timu kubwa. Pia hazijafanikiwa kumfunga simba. Madrid mabingwa wa soka ulaya Leo ametoka sare na levante. Chura mna tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hizo1.3 billion, Buswita aliambulia million 10
 
Tatizo ni kwamba mpira wetu ni too local wachezaji wanapoteza mpira hovyo, ball control ni tatzo halafu pia magoli yanatengenezwa kama tunavyoona kwenye timu za ulaya lakini hapa bongo magoli yanatokea bahati mbaya wachezaji hawafundishwi kutengeneza nafasi za magoli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule Mwanza kuna kabila fulani hutamba saana kwa wingi wa kengele walizofunga kwenye baiskeli zao. Akifika dukani anamwaga mahela hapo mezani kwa mhindi na kumwambia; Nipage hapo libaiskeli la kengele 10 ka lile la Masanja. Yeye alikupa shs Laki 3 miye nakupa laki 4.
Ndio Simba Sc. Kutaka kumkomesha Yanga kwa bei yeyote ile. Pesa hii wangelikuwa makini wangelipata wachezaji mbali wazuri tu na kuifunga yanga yao kiulaini na timu kali
 
Back
Top Bottom