Usajili wa wasanii Fiesta 2016

Tutajieni kabisaa na wasanii watakao piga shoo buree...
Watakao piga shoo bure ni wengi mno hasa kipindi hiki cha vijana wengi kutaka kutoka kisanii na kimaisha, hasa wale wa kwenye miji itakapopita fiesta tena ni wao ndio watakaoomba kuwafanya hivo wakiamini watatoka kwa watu kuwaona.
 
Watakao piga shoo bure ni wengi mno hasa kipindi hiki cha vijana wengi kutaka kutoka kisanii na kimaisha, hasa wale wa kwenye miji itakapopita fiesta tena ni wao ndio watakaoomba kuwafanya hivo wakiamini watatoka kwa watu kuwaona.
Kuna kipindi huku Mkoani kwetu niliona ukifanyika usahili kwa watakaoperform Fiesta, ebana walijitokeza maunderground wa kumwaga, nikashangaa sana yaani watu wanachuana kuperform bure
 
Sijaelewa....yaani wasanii kama Navy Kenzo Fid Weusi and the like wanafanyiwa usahili?!

Hii imenishangaza kama ile habari ya Chidy Benz kwenda kutambulisha nyimbo redioni bila kujua hata chorus ya nyimbo yake(iliyofanywa na Raynavy)

Usahili?! As BSS n Tusker Project Fame?!!!
 
Kuna kipindi huku Mkoani kwetu niliona ukifanyika usahili kwa watakaoperform Fiesta, ebana walijitokeza maunderground wa kumwaga, nikashangaa sana yaani watu wanachuana kuperform bure
Unafikiri nani anataka habari za kushika jembe la mkono huku ukisubiria mvua zisizosomeka ........ wakati wana sikia msanii anapanda jukwaani anaimba anaondoka 2m - 15m ndani ya 30min.
 
Unafikiri nani anataka habari za kushika jembe la mkono huku ukisubiria mvua zisizosomeka ........ wakati wana sikia msanii anapanda jukwaani anaimba anaondoka 2m - 15m ndani ya 30min.
Kazi kweli kweli, ila nchi hii tuna wasanii wengi sana, waliotoka hawafiki hata asilimia 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…