Usajili wa wasanii Fiesta 2016

Mbona Simba hayupo?....Na Benzino Je?
Hao ni baadhi tu ya Watakaotumbuiza Mwanza "The Rock City". Wengine watakaotumbuiza katika mikoa mingine watasajiliwa pale patakapofikia. Hii hutegemea na nguvu ya Msanii na kukubalika kwake maeneo husika.
 
Mkuu huu siyo Usahili Bali Usajili.
Ukisajiliwa hakuna haja ya kufanyiwa majaribio. Unapewa mkataba moja kwa moja. Usahili ni tofauti maana hawajui uwezo wako hivyo watataka kwanza kukupima kama unastahili nafasi Tajwa.

Wasanii watakaotumbuiza wanasSAJILIWA. HawaSAILIWI.
 
manifongo na shoro mwamba.. ndio habari ya mjiniiiiiiii..

hao wengine mziki wao umeshawakataaa wamwachie diamond tu
 
Endelea kutokuelewa,wapi pameandikwa wanafanyiwa usahili?
Hii thread ilivyoanzishwa nadhani hukuiona sasa umekurupuka tu...

Hujiulizi mbona wengine hawajanikosoa hapo?!....so ndo hivyo mwanzoni iliandikwa hivyo

Hata hivyo bado ni dharau kuwasainisha mkataba wasanii mbele ya kadamnasi hivyo....kusaini mkataba kunahitaji utulivu wa akili pia na kupitia vipengele vyote.....ndio maana hii nchi tunasainishwaga mikataba ya kilaghai kwa kutokuwa makini na matendo yetu...

Huwezi msainisha msanii mkataba kama unafanya "usajili" wa timu za ndondo cup.
 

Umeona usajili wa wachezaji unavyofanywa? Mtu anapewa mkataba anausoma halafu anambiwa sku flani utakuja kusaini sehem flani. Sio wanakurupuka tu kama wewe ulivyokurupuka.
 
Umeona usajili wa wachezaji unavyofanywa? Mtu anapewa mkataba anausoma halafu anambiwa sku flani utakuja kusaini sehem flani. Sio wanakurupuka tu kama wewe ulivyokurupuka.
Wao ndio wamekurupuka

Wanauwezo wa kuwapa mikataba then wakafanya Pre Fiesta Party kuwatambulisha...simple...hiyo siyo timu ya mpira bob tofautisha...

Wapi dunia hii watu wanaandaa matamasha wanafanya huo "usanii"?

Mwisho wa siku wataenda kupandishwa dala dala kuzunguka tanzania nzima kama wapo kwenye study tour!.....ajabu!
 
Ni usajili ndgu sio usahili hayo ni maneno mawili tofauti
 

Tatizo ujielewi,ule ni usajili kama usajili wa wachezaji unavyofanywa huu ni mfano,ndio maana wamesema ni usajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…