Usajili wa Wataalam wa Mazingira 2015

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,939
Reaction score
10,403
Natanguliza heshima tele kwa wadau wote wa JF.

Jamani naomba mwenye majina ya Wataalam wa Mazingira kwa mwaka 2015 ayaweke wazi kwa manufaa ya umma.
Website (Tovuti) ya NEMC bado inaonesha majina ya mwaka 2014.
Kuna taarifa rasmi kuwa majina hayo yalishatoka siku nyingi sana zimepita...

Naomba kuwasilisha ombi langu...

Heshima tele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…