usajili wa watu wa diploma kuomba nafasi za elimu ya juu nacte tarehe ya mwisho

josaya

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
389
Reaction score
116
jamani mi nawaomba yoyote mwenye taarifa anipe halafu naomba ushauri mi matokeo yangu ya diploma yanatoka mwezi wa nane je ninaweza nikawahi kuomba nafasi ?
 
jamani mi nawaomba yoyote mwenye taarifa anipe halafu naomba ushauri mi matokeo yangu ya diploma yanatoka mwezi wa nane je ninaweza nikawahi kuomba nafasi ?

Nilivyosoma kwenye mabandiko yao diploma holder mwisho ni 30 june, ila sijui kama wata extend muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…