Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Mfumo huu ni mzuri sana sababu chama kinafahamu idadi ya wanaCCM kitaifa - Mkoa - wilaya na Kata waliko wanachama.
Hata hivyo, ningekuwa na madaraka ktk CCM mfumo wa usajili unapaswa kuwa active muda wote - haupaswi kufungwa - usajili unatakiwa kuendelea mpaka mwakani May kabla ya kura za maoni. Hii itawezesha watu wengi zaidi kujisajili.
Hata hivyo, ningekuwa na madaraka ktk CCM mfumo wa usajili unapaswa kuwa active muda wote - haupaswi kufungwa - usajili unatakiwa kuendelea mpaka mwakani May kabla ya kura za maoni. Hii itawezesha watu wengi zaidi kujisajili.
- Mfumo usifungwe
- Zoezi la usajili liendelee
- Wanaccm waongezeka