Pre GE2025 Usajili WanaCCM kielekitroniki mfumo huu ni mzuri sana

Pre GE2025 Usajili WanaCCM kielekitroniki mfumo huu ni mzuri sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Mfumo huu ni mzuri sana sababu chama kinafahamu idadi ya wanaCCM kitaifa - Mkoa - wilaya na Kata waliko wanachama.

Hata hivyo, ningekuwa na madaraka ktk CCM mfumo wa usajili unapaswa kuwa active muda wote - haupaswi kufungwa - usajili unatakiwa kuendelea mpaka mwakani May kabla ya kura za maoni. Hii itawezesha watu wengi zaidi kujisajili.
  • Mfumo usifungwe
  • Zoezi la usajili liendelee
  • Wanaccm waongezeka
Soma Pia:
 
Back
Top Bottom