Pre GE2025 Usajili WanaCCM kielekitroniki mfumo huu ni mzuri sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Mfumo huu ni mzuri sana sababu chama kinafahamu idadi ya wanaCCM kitaifa - Mkoa - wilaya na Kata waliko wanachama.

Hata hivyo, ningekuwa na madaraka ktk CCM mfumo wa usajili unapaswa kuwa active muda wote - haupaswi kufungwa - usajili unatakiwa kuendelea mpaka mwakani May kabla ya kura za maoni. Hii itawezesha watu wengi zaidi kujisajili.
  • Mfumo usifungwe
  • Zoezi la usajili liendelee
  • Wanaccm waongezeka
Soma Pia:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…