Kumpandisha mtoto boda boda ni kuingilia uhuru wake sababu hajitambui.Pole. Mimi kuna siku watoto waliachwa na school bus, sasa boda ninaemtumia mimi binafsi akawa hapatikani ila kuna mwingine mtu mzima kiasi nikawa namfwata ili awapeleke watoto kumbe amelewa hataru alikua ameegemea nguzo ile kupiga tu hatua chini amelewa hajiwezi kumbe kugemea ile nguzo ni balance alikua anatafuta nikasema asante Mungu maana nadhani leo ningekua naongea mengine kuhusu watoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Uandishi huu chumvi chumvi!Kuna siku nilipita kijiweni vijana wakachangamka nikaona hawa wanaochangamka sio, nikachagua dereva aliekuwa kakaa kimya hana neno, nashukuru ilikua ni safari fupi....nishakaa kwa chuma yule dereva akageuka kunisemesha aseeeeeee ndio maana alikua kimya yani nilihisi nimemwagiwa ji-konyagi usoni yule atakua ni mlevi mbwa!!!
Wazee wa busta hao
Bila kusahau walinziBao boda hawana akili.
Kuna kazi ukifanya unakua chizi obvious, bodaboda na dereva wa daladala.
Jamani njaa mbayaa
Ni kweli japo umbali haukua mrefu sana japo haidefine ajali kutotokea. Najua fika nilifanya makosa sema mwenyez Mungu alininusuruKumpandisha mtoto boda boda ni kuingilia uhuru wake sababu hajitambui.
Bora bajaji mara 67
😁 Sijatia chumvi hata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Uandishi huu chumvi chumvi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana watu huwa wanachagua bodaboda wao....Aisee pole sana hao wanaokaa kimya mara nyingi huwa na frustrations, njia pekee akishakunywa ni kuikimbiza kama anafukuzwa na matatizo yake