Usalama barabarani, vipi tukiweka camera black box na audio driving route recorder kwenye basi kama ndege

Usalama barabarani, vipi tukiweka camera black box na audio driving route recorder kwenye basi kama ndege

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu.
1. Kuonesha mbele inapoenda

2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder

3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama.

Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu.

Tunataka kuona video zinazoonesha tatizo hasa lili kuwaje, ajali ilitokeatokeaje?

Sauti na video ziseme dereva na msaidizi wake walikuwa na mwitikio gani nafasi yao katika ajali ilikuwaje.

Na video ya abiria itaonesha nani aliruka kwenye siti yake, je alifunga mkanda? Au alishukia wapi, je alitekwa na nani?

Public transport zote, hasa mabasi makubwa ya mikoani.

Sijaliweka vizuri, atakayeelewa atarekebisha mwenyewe 😒
 
Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu.
1. Kuonesha mbele inapoenda
2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder
3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama.

Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu.

Tunataka kuona video zinazoonesha tatizo hasa lili kuwaje, ajali ilitokeatokeaje?

Sauti na video ziseme dereva na msaidizi wake walikuwa na mwitikio gani nafasi yao katika ajali ilikuwaje.

Na video ya abiria itaonesha nani aliruka kwenye siti yake, je alifunga mkanda? Au alishukia wapi, je alitekwa na nani?

Public transport zote, hasa mabasi makubwa ya mikoani.

Sijaliweka vizuri, atakayeelewa atarekebisha mwenyewe 😒

Kwa gharama ya nani?
 
Kwa gharama ya nani?
Kama wanavyoweka TV na redio na matairi kwa gari zilizopo

kwa mpya👇.....

gharama zinaweza kupungua kama specification zikiwa mojakwa moja hivyo toka kiwandani CHINa
 
Kama wanavyoweka TV na redio na matairi kwa gari zilizopo

kwa mpya👇.....

gharama zinaweza kupungua kama specification zikiwa mojakwa moja hivyo toka kiwandani CHINa

Vipi ushuru wa forodha, vat, handling, import, na ule msululu mwingine?

Navyo vitakuwemo kwenye kuviagiza?
 
Vipi ushuru wa forodha, vat, handling, import, na ule msululu mwingine?

Navyo vitakuwemo kwenye kuviagiza?
Basii, basi bro tuachane na black box FDR na CVR orijino kama ni bei sana.

Wafunge tu camera zinazonasa na sauti, siku hizi hata sio teknolojia ngumu haitafika hayo madolari ya mamilioni.

Kitu kama GoPro hivi
 
Basii, basi bro tuachane na black box FDR na CVR orijino kama ni bei sana.

Wafunge tu camera zinazonasa na sauti, siku hizi hata sio teknolojia ngumu haitafika hayo madolari ya mamilioni.

Kitu kama GoPro hivi

Tatizo kwetu upigaji, ng'ombe wa maziwa: mwananchi.

Nia njema zero!
 
Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu.
1. Kuonesha mbele inapoenda
2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder
3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama.

Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu.

Tunataka kuona video zinazoonesha tatizo hasa lili kuwaje, ajali ilitokeatokeaje?

Sauti na video ziseme dereva na msaidizi wake walikuwa na mwitikio gani nafasi yao katika ajali ilikuwaje.

Na video ya abiria itaonesha nani aliruka kwenye siti yake, je alifunga mkanda? Au alishukia wapi, je alitekwa na nani?

Public transport zote, hasa mabasi makubwa ya mikoani.

Sijaliweka vizuri, atakayeelewa atarekebisha mwenyewe 😒
Greater idea smartest
 
Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu.
1. Kuonesha mbele inapoenda

2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder

3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama.

Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu.

Tunataka kuona video zinazoonesha tatizo hasa lili kuwaje, ajali ilitokeatokeaje?

Sauti na video ziseme dereva na msaidizi wake walikuwa na mwitikio gani nafasi yao katika ajali ilikuwaje.

Na video ya abiria itaonesha nani aliruka kwenye siti yake, je alifunga mkanda? Au alishukia wapi, je alitekwa na nani?

Public transport zote, hasa mabasi makubwa ya mikoani.

Sijaliweka vizuri, atakayeelewa atarekebisha mwenyewe 😒
Sasa hii balaa, mtu kamuaga mkewe yuko kwenye semina kisha anaonekana akichupa ndani ya basi la Katarama huku kashika mkoba wa beki wa akiba! Si uchochezi huo.
 
Sasa hii balaa, mtu kamuaga mkewe yuko kwenye semina kisha anaonekana akichupa ndani ya basi la Katarama huku kashika mkoba wa beki wa akiba! Si uchochezi huo.
Kuepusha hili.

Hizi video na sauti zinakuwa nyaraka na mali ya polisi, kuziaccess ni mpaka code maalumu na zinatazamwa pale tu kunapokuwa na shida imetokea.

Tofauti na hivyo hakuna mtu ataona matukio ya kwenye basi kizembe. Inaweza hata ikawekwa kwamba inahitajika warrant ya mahakama au polisi wa upelelezi kuweza kuonekana
 
Back
Top Bottom