Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sex + Beer, kama wa huku tu bongo!Inshangaza sana Afisa usalama wa Count hiyo alikuwa anafanya kazi gani sasa.
Na anashindwa kweli hata Yule mwenzio Odero nae anashinda kesi kabisa,Kwa jinsi kenya mahakama na mifumo yao ya haki jinai ilivyo i bet PR MACKENZIE atashinda hii kesi. Ila ingekuwa ni Tz hii inshu ingefanyika kwa usiri mkubwa na mchungaji kama MACKENZIE angepotezwa kimya kimya na watu wa mfumo
Hii isssue ilitakiwa waziri wa mambo ya ndani aachie ngazi..kuna uzembe mkubwaHata mm najiuliza hata ndugu zao hawajui..
Nimeshangaa sanaUkiondoa kingereza, Kenya inabaki tupu.
Hii ishu inachezwa na top official figures wa serikalini huko... Juzi Kati alikamatwa pastor odero akihusishwa na Mackenzie. Na Kuna shauri lipo mahakamani kutaka kuzichunguza account 15 za huyu bwana odero. Na la zaidi ni kwamba mama watoto wa raia namba mbili wa Kenya alikuwa ni mchungaji msaidizi wa odero...Wakuu hii issue ya shakaola, Kenya inamaanisha nini?
Je, usalama wa taifa ni mdogo Kenya?
Kweli, anakufa mtu mmoja hadi mtu wa mia moja sabini na tisa, usalama wa taifa haujui?
Kenya is a failed stateWakuu hii issue ya shakaola, Kenya inamaanisha nini?
Je, usalama wa taifa ni mdogo Kenya?
Kweli, anakufa mtu mmoja hadi mtu wa mia moja sabini na tisa, usalama wa taifa haujui?
Itakuwa.. ila pastor odero nasikia ameachiwa kwa dhamanaHii ishu inachezwa na top official figures wa serikalini huko... Juzi Kati alikamatwa pastor odero akihusishwa na Mackenzie. Na Kuna shauri lipo mahakamani kutaka kuzichunguza account 15 za huyu bwana odero. Na la zaidi ni kwamba mama watoto wa raia namba mbili wa Kenya alikuwa ni mchungaji msaidizi wa odero...
Mama riggy g+pastor odero----------->Mackenzie=shakahola mysteries...
Nakubali..inataka kuwa kama nigeriaKenya is a failed state
Ukabila unaitafuna kama mdudu ndani ya jinoNakubali..inataka kuwa kama nigeria