Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Nisikilizeni, Faru J ni kaka yenu haijalishi alighafirika vipi. Rasmi na wausia sasa, ni muhimu aheshimiwe na thamani yake apewe.
Usalama wa familia yetu ni muhimu kuliko magomvi yetu ya ndani. Na kama mnavyoshuhudia, Ukoo wa mwendazake wa kule Ilaki kwa hivi karibuni unaelekea kutupindua ki Utawala. Lazima kitu kifanyike kuzuia mwendelezo wao. Lazima Ufalme wetu urejee.
Mwanzo wewe umejiharibia mwenyewe kwa kutokuzingatia masharti ya mwenendo na ndiyo maana 001 kakushtukia na kukutupa nje ya Boma lake. Nilikupa maelekezo ujikite kwa chekechea wake ajabu ukaanza kumuonyesha chekechea yule mapito yako mlipokuwa Ng'ambo. Kakuchoma sasa na umepigwa marufuku kusogelea kwao.
Domokaya nawe ni walewale tu. Ulishindwa nini kuwa mtulivu hadi uanze kudhihili rangi na uelekeo wako?! Ona sasa pamoja na Mwanzo hamtakiwi kwenye Boma la mu-Ilaki.
Sasa nisikilizeni kwa makini, vita iliyopo mbele ni kubwa! Uwezekano wa Ukoo wetu kupotezwa siyo tetesi tena bali ni bayana. Nimempa maelekezo ya nini joka la kimbisa akafanye kwenye ule Mkutano wa hadhara. Joka akilianzisha na wewe chekechea wa Ki imani udakie haraka. Ninyi wapwa na wajukuu kazi yenu iwe kudakia na mapambio juu. Binti mu Ilaki atanitupia mpira na mimi nitasawazisha bao.
Habari njema yule mla nguruwe bandani ameomba ruhusa arejee kwao. Nami sasa nitahahikisha kaka yenu Faru akawe pale.
Endapo Faru J akiwa pale, ni rahisi Ufalme wa Ukoo wetu urejee. Ya yule mla Sato si mnayakumbuka wanangu? Mtemi wenu naelekea kibra, sasa ni muhimu ni hakikishe Ufalme wetu urejee kabla ya 3020.
Basi, nguvu zote tuzielekeze kwa Faru J.
Usalama wa familia yetu ni muhimu kuliko magomvi yetu ya ndani. Na kama mnavyoshuhudia, Ukoo wa mwendazake wa kule Ilaki kwa hivi karibuni unaelekea kutupindua ki Utawala. Lazima kitu kifanyike kuzuia mwendelezo wao. Lazima Ufalme wetu urejee.
Mwanzo wewe umejiharibia mwenyewe kwa kutokuzingatia masharti ya mwenendo na ndiyo maana 001 kakushtukia na kukutupa nje ya Boma lake. Nilikupa maelekezo ujikite kwa chekechea wake ajabu ukaanza kumuonyesha chekechea yule mapito yako mlipokuwa Ng'ambo. Kakuchoma sasa na umepigwa marufuku kusogelea kwao.
Domokaya nawe ni walewale tu. Ulishindwa nini kuwa mtulivu hadi uanze kudhihili rangi na uelekeo wako?! Ona sasa pamoja na Mwanzo hamtakiwi kwenye Boma la mu-Ilaki.
Sasa nisikilizeni kwa makini, vita iliyopo mbele ni kubwa! Uwezekano wa Ukoo wetu kupotezwa siyo tetesi tena bali ni bayana. Nimempa maelekezo ya nini joka la kimbisa akafanye kwenye ule Mkutano wa hadhara. Joka akilianzisha na wewe chekechea wa Ki imani udakie haraka. Ninyi wapwa na wajukuu kazi yenu iwe kudakia na mapambio juu. Binti mu Ilaki atanitupia mpira na mimi nitasawazisha bao.
Habari njema yule mla nguruwe bandani ameomba ruhusa arejee kwao. Nami sasa nitahahikisha kaka yenu Faru akawe pale.
Endapo Faru J akiwa pale, ni rahisi Ufalme wa Ukoo wetu urejee. Ya yule mla Sato si mnayakumbuka wanangu? Mtemi wenu naelekea kibra, sasa ni muhimu ni hakikishe Ufalme wetu urejee kabla ya 3020.
Basi, nguvu zote tuzielekeze kwa Faru J.