willzkichaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 422
- 190
Habari wana jamvi,
kiukweli nimesikitishwa sana na jambo lililonikuta hivi karibuni.
wiki iliyopita nlipoteza simu yangu ya mkononi aina ya SONY Xperia katika mazingira ya kutatanisha.
Hata hivyo ilikua ndani ya daladala nlikurupuka na kutoka haraka baada ya kukumbuka kitu na baada ya dakika 10 nligundua nimepoteza simu hii nliyoipenda na kuhifadhi kila aina ya docuent muhimu ninazozitumia, vyeti vya kuombea kazi vyote na mitandao ya kazi ya kutosha! tuishie hapo kwa hilo.
Iliniuma sana na nlianza fuatilia daladala hiyo na kuipata labda kama ingekua chini au konda ni mwema kanishikia maana sio wana nzengo wote wana roho mbaya, konda alikana na kufanya nizunguke na nlipata abiria wote waliopanda ndani ya dakika chach zile nao walikataa, Mwanza ni ndogo na ukiamua kupata mtu haraka haishindikani. siku hiyo nliahirisha hata upeleka application maana nlighafilika sana.
************POLISI*********
Sasa nikashauriwa kuripoti polisi maana huu mtaaa ulivyo naweza ipata na kushindwa ichukua, ilikua mida ya saa kumi na mbili na polisi nlikuta wakieka makabrasha vizuri wafunge, hawakunipa RB ila waliniambia kama ni 3G niende vodacom tu(mtandao nliokua nautumia). nikafarijika na kuona imeisha!
***********VODACOM*******
baada ya kutoka polisi nlipigaa simu vodacom na kuuliza kama huduma hii ipo, na nlijibiwa kuwa ipo na itapaikana haraka, asubuhi na mapema nlifika vodacom nikiwa na shauku ya kuipata simu yangu niendelee na mambo mengine, kufika na kuuliza nliona sura ya mhudumu inabadilika na akanijibu, nani kakudanganya huyo? ngoja niandike ripoti (anabonyeza kompyuta) kwanini wanadanganya wateja jamani. kha! nlihisi kupigwa ganzi nisiyojua imetokea wapi na hata miguu ikachoka kusogea, kumbe simu ikipotea kama sio samsung au iPhone asee jipange. niliambiwa niende polisi na registration namba za simu nao wanaweza kusaidia labda.
**********SOMO/ONYO**********
sasa ile simu ina uwezo mkubwa na hiyo brand nimeipata kwa rafiki mwenye mishe za simu za nje na ilikua used, hapo ndo kimbembe maana ningekua nimeinunua dukani atleast namba ingekuwepo.
Kosa nlilofanya naona ni kutonakili namba zake pembeni for emergency, na kutoweka appliation za kui track simu.
kutoka vodacom sikukata tamaa ila nlirudi kwenye kompyuta na kujaribu kui track na application kama Airdroid, PlanB na Android device manager na avast ila hakukua na bahati kwani inaonekana ilikua imezimwa kama sio kufutwa kila kitu!
kilichoniuma zaidi ni kuambiwa kua ingekua Samsung wangejaribu,
**********USHAURI*********
kama unatumia simu zenye uwezo mkubwa wa internet jaribu kuweka application za kui track movement zake na kuback up kila kitu (faili, picha na video) itawasaidia msiadhirike kama mimi, na ukiangalia ajira ngumu nlikua nishaitafutia mteja niongezee mtaji. MAJOR PULL BACK! sasa imebidi niendelee kuiweka katika maombi Mungu anisaidie nipate zaidi a hiyo.
Nawatakia Siku Njema.
kiukweli nimesikitishwa sana na jambo lililonikuta hivi karibuni.
wiki iliyopita nlipoteza simu yangu ya mkononi aina ya SONY Xperia katika mazingira ya kutatanisha.
Hata hivyo ilikua ndani ya daladala nlikurupuka na kutoka haraka baada ya kukumbuka kitu na baada ya dakika 10 nligundua nimepoteza simu hii nliyoipenda na kuhifadhi kila aina ya docuent muhimu ninazozitumia, vyeti vya kuombea kazi vyote na mitandao ya kazi ya kutosha! tuishie hapo kwa hilo.
Iliniuma sana na nlianza fuatilia daladala hiyo na kuipata labda kama ingekua chini au konda ni mwema kanishikia maana sio wana nzengo wote wana roho mbaya, konda alikana na kufanya nizunguke na nlipata abiria wote waliopanda ndani ya dakika chach zile nao walikataa, Mwanza ni ndogo na ukiamua kupata mtu haraka haishindikani. siku hiyo nliahirisha hata upeleka application maana nlighafilika sana.
************POLISI*********
Sasa nikashauriwa kuripoti polisi maana huu mtaaa ulivyo naweza ipata na kushindwa ichukua, ilikua mida ya saa kumi na mbili na polisi nlikuta wakieka makabrasha vizuri wafunge, hawakunipa RB ila waliniambia kama ni 3G niende vodacom tu(mtandao nliokua nautumia). nikafarijika na kuona imeisha!
***********VODACOM*******
baada ya kutoka polisi nlipigaa simu vodacom na kuuliza kama huduma hii ipo, na nlijibiwa kuwa ipo na itapaikana haraka, asubuhi na mapema nlifika vodacom nikiwa na shauku ya kuipata simu yangu niendelee na mambo mengine, kufika na kuuliza nliona sura ya mhudumu inabadilika na akanijibu, nani kakudanganya huyo? ngoja niandike ripoti (anabonyeza kompyuta) kwanini wanadanganya wateja jamani. kha! nlihisi kupigwa ganzi nisiyojua imetokea wapi na hata miguu ikachoka kusogea, kumbe simu ikipotea kama sio samsung au iPhone asee jipange. niliambiwa niende polisi na registration namba za simu nao wanaweza kusaidia labda.
**********SOMO/ONYO**********
sasa ile simu ina uwezo mkubwa na hiyo brand nimeipata kwa rafiki mwenye mishe za simu za nje na ilikua used, hapo ndo kimbembe maana ningekua nimeinunua dukani atleast namba ingekuwepo.
Kosa nlilofanya naona ni kutonakili namba zake pembeni for emergency, na kutoweka appliation za kui track simu.
kutoka vodacom sikukata tamaa ila nlirudi kwenye kompyuta na kujaribu kui track na application kama Airdroid, PlanB na Android device manager na avast ila hakukua na bahati kwani inaonekana ilikua imezimwa kama sio kufutwa kila kitu!
kilichoniuma zaidi ni kuambiwa kua ingekua Samsung wangejaribu,
**********USHAURI*********
kama unatumia simu zenye uwezo mkubwa wa internet jaribu kuweka application za kui track movement zake na kuback up kila kitu (faili, picha na video) itawasaidia msiadhirike kama mimi, na ukiangalia ajira ngumu nlikua nishaitafutia mteja niongezee mtaji. MAJOR PULL BACK! sasa imebidi niendelee kuiweka katika maombi Mungu anisaidie nipate zaidi a hiyo.
Nawatakia Siku Njema.