Usalama wa Taifa na TCRA mko wapi? ORGANIZER wa Al-Shaabab nchini huyu hapa mtafuteni

Seriously unasema nini ? Didn't he mentioned someone jeshini Mwanza sasa wewe kwa ilimu ya Mulugo bado huoni hilo ???
Ofcoz wana muda wa kutengeneza ugaidi feki na Mwigulu lkn mambo kama haya hawana muda !!

 
Seriously unasema nini ? Didn't he mentioned someone jeshini Mwanza sasa wewe kwa ilimu ya Mulugo bado huoni hilo ???
Ofcoz wana muda wa kutengeneza ugaidi feki na Mwigulu lkn mambo kama haya hawana muda !!
Sasa kumention si hata wewe unaweza??!! Au kumention in kazi sana mkuu?
 
Mbona hapahapa JF kuna Boko Karamu Al Qaeda Al Shabab al Shaytan sympathizer na mods hawawafanyi chochote.? Tena ukitazama kwa karibu utagundua wengi kama si wote ni wafuasi wa magamba & policcm, so ktk bigger picture it will be funny kesi ya nyani ukampelekea ngedere!
 
Issue ni kusema kuwa sijui ipo FB so UWT hawana la kufanya ! Katika mambo ya usalama hakuna assumptions hata siku moja ili mradi mtu katajwa inafuatiliwa na wao watajiridhisha. So cha kufanya kipo na sio mambo ya fb tuu..

Sasa kumention si hata wewe unaweza??!! Au kumention in kazi sana mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…