Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
HahahahaTuanzie kwanza mtumba uliovaa hapo.
Usalama wake ukoje?
Aiseee mpaka wee kufka hyo umr wako ushalambwa chanjo ngap ukiwa mdogo ndy utajua msaada wao uko wap hapoSorry wakuu mimi mdogo wenu kuna muda najiwazia tu.
Back to the point,Hivi hii misaada ya nchi za Magharibi inayokuja Afrika usalama wake ukoje?
Hapa namaanisha:net,vifaa vya uzazi wa mpango,vyakula,dawa nk. Mfano net zao tunaambiwa zimetiwa sumu ya kuua mbu ila sijawahi kukuta mbu chini wamekufa?
Je wazungu wana uchungu na upendo kwa Afrika kwa kiasi cha kutuletea vitu vizuri kiasi hicho au tunauliwa taratibu.Je wao hayo mavitu wanayatumia?🙏