Usaliti ni dhambi ya mauti

Usaliti ni dhambi ya mauti

Huu ni ugonjwa tu kaupata na hauusiani na uchaguzi. Japo Mtulia ni miongoni mwa wanasiasa wapuuzi kuwahi kuwepo nchini lakini sikushauri umuombee mauti. Omba aishi aone kiwango cha ujinga na uchumia tumbo aliouendekeza na jinsi ujinga wake ulivyogharimu maisha ya watu wengine.
Mtulia Mungu akupe siku japo chache uone ukuu wake na utambue maumivu waliyopata wale uliowasababishia maumivu akiwemo yule kijana wa Ananasifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom