Huu ni ugonjwa tu kaupata na hauusiani na uchaguzi. Japo Mtulia ni miongoni mwa wanasiasa wapuuzi kuwahi kuwepo nchini lakini sikushauri umuombee mauti. Omba aishi aone kiwango cha ujinga na uchumia tumbo aliouendekeza na jinsi ujinga wake ulivyogharimu maisha ya watu wengine.
Mtulia Mungu akupe siku japo chache uone ukuu wake na utambue maumivu waliyopata wale uliowasababishia maumivu akiwemo yule kijana wa Ananasifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.