Usaliti wenye ulazima

Pumbv kabisa hukufaa kuoa wewe.

Mwanaume halipizi kisasi kipuuzi namna hiyo wewe. Hizo ni hasira za kike nyambav.

Ndio maana mnaambiwa MSIOE hamsikii.

Nimechukizwa na hili bandiko🤬🤬
 
Hit and run šŸ˜Ž
 
Siwezi kusex na mtu mwingine kisa nalipiza kisasi ,mimi nitatafuna ila si kwa kulipa kisasi, watu wengi hawajui kumpotezea mwenzako kama hujui halafu humzingatii ndo kumwumiza zaidi
 
Mkuu unakimeo hicho piga chini nakuhakikishia jaffar akikomaa anakula mzigo
inapotokea mkeo yuko radhi agombane nawe kwa ajiri ya mwanume mwingine...kama Jafari ni tatizo sana, baby wa jamaa ni dhaifu sana kwa watu wake wa zamani...jamaa amekuwa mpole kwa ndoa yake na muungwana anachukua advantage huyu shemela wetu.
 
Ngoja nikuongezee roho mbaya hapo inabidi ukakojolee ndani kila ukikutana nako km katapata mimba vitajijua uko uko
 
Haiwezekani mimi nisema A halafu mke wangu atekeleze D. tena mimj ndio nikiwa sahihi, kuna mambo mnaweza kutofautina maono na kuna nhakati yeye anakuwa sahihi hapo namsikkiliza bila tabu, lakini sio mie niwe sahihi halafu yeye asitende, haijatokea ila ikitokea sijui atanibebea mbeleko gani sijui.
 
Hapa ndo unakosea. Mpe hivyo vistory vibaya vibaya ili ajue kuwa unajua. Na hao ndugu anaoendelza nao masawiliano wanamchora tu. Kumbe uongo. Kikubwa vuruga kabisa wakate mawasiliano. Utaona ulivyo uliza kuhusu jafari alibaki kimya. Ukifanya hivyo tena hata kama vya kijinga wewe Sema ili ajione kuwa ni mjinga na hao anawakimbilia wanamchora.


Mimi niliwahi dukua simu ya wife akiwa shule. Nikakuta kuna mtu anaongea naye muda mrefu ikabiidi nidukue simu. Kuja kupata maongezi yao jamaa anabembeleza aende nyumbani kwa mke wangu. Chuoni hapo. Nilipo muuliza akasema ni mwanamke. Nikambana akakana zaidi. Nilichofanya nikamrushia audio akaanza kuwa mkali. Na yule dogo nikampiga bit kali na kumpa onyo. Ikiwa mwisho mawasiliano na watu coz anajua ninaweza fuatilia.


Ukitaka aache mpe vitu ambavyo anaona ni siri kwake afu atajua unajua. Ataogopa kuendelea. Na wewe fanya juu chini vuruga mawasiliano yao. Ukiona anazingua zaidi. Unasema nitakuolea ndugu wa kule ili mpigie story vizuri zaidi.
 
Daah hiyo ndoa yako ngumu.Vp kipindi upo nae ktk uchumba ashawahi kukuonyeshea hayo mapicha picha ya maex wake?
kuna jamaa aliwahi mweka status birthday akidai alikuwa mwanakwaya mwenzake kipindi anasali magomeni KKKT, bahati mbaya kama miezi miwili mbele aliibiwa simu nikamnunulia nyingine wakati anasajilii akaunti google photos ikadownload picha moja wapo ya ajabu alipiga na huyo jamaa zamani sana,nilivyomuonyesha ndio akakubalia yule alikuwa mshikaji wake, kwanini unamweka status hana jibu nilimsamehe na hili.
 
Mkuu bila kupepesa vidole,umeoa mdangaji
 
Tatizo la kuwa na mke mpumbavu na asiye na akili, utateseka sana kijana.

Narudia, usimkule mwanamke mjinga utateseka mjini...ona sasa
 
Nae
 
Poleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…