Usambazaji wa shirts

enoc seth

Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
56
Reaction score
15
Wadau,

Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu jinsi ya,kusambaza bidhaa ili ziweze kupatikana katika maeneo mbalimbali Tz,tafadhari anipe mwongozo,kama kuna kampuni za usambazaji au vipi,nahitaji shirts zangu ziingie sokoni.

Asanteni,0686871887 tunaweza kuwasiliana pia
 
Kama wewe ni msambzaji mkuu na una centre moja, say dsm, kwanza tangaza vya kutosha, fanya marketing ya kutosha hasa kwa walengwa wako.
Kwa mikoani unaweza ingia mkataba na wauzaji wa jumla jumla au kampuni yoyote yenyel mlengo wa usambazaji nakuwa kama wakala...nae atafanya marketing yake ktk eneo husika...nk

mm mmojawapo nina kampuni tunaweza ingia mkataba kisheria kabisa..then tukawa wakala wako hapa mbeya .....ni-pm kama ndio.

Tembelea blog yetu: www.kimiconsultancy.blogspot.com
 
Asanteh sana kwa ushauri mzuri ndg yangu sawa nitafanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…