Usanifu wa Majengo: Kwanini ni muhimu nyumba/ Ramani kuakisi hali ya hewa ya mahali husika?

Usanifu wa Majengo: Kwanini ni muhimu nyumba/ Ramani kuakisi hali ya hewa ya mahali husika?

Gamba la Mbu

Senior Member
Joined
Jun 28, 2020
Posts
160
Reaction score
417
Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni.

Twende kwenye mada!

Kuna baadhi yetu nyumba zetu hugeuka makaburi wakati wa joto ila feni hugeuka mkombozi huku tukiomba Tanesco wasikate umeme.

Yumkini hufahamu katika hatua za awali kabisa za usanifu kuna baadhi ya mambo hayakwenda sawa hivyo kukoleza makali ya joto. Lakini wengine changamoto hii hupungua kwa kiasi kikubwa.

Hatua za ujenzi:
01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)
02. Hatua za Usanifu ramani /Schematic Design (SD)
03. Hatua ya uendelezaji usanifu ramani /Design Development (DD)
04. Uandaaji wa Michoro ya Kujengea/ Construction Drawings (CD)
05. Ujenzi /Construction

Kwa leo mada yetu itagusa sana kipengele cha kwanza kwani ndio kiini cha mada yetu.

01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)

Katika hatua hii kuna mambo ya msingi mengi ambayo yataamua kutoa taswira katika hatua zingine za usanifu. Vitu hivyo huibuliwa katika hatua ya kwanza ambayo:

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
Hii ni orodha ya vitu ambavyo kiwanja chako kinakuwa kinavyo au kupakana navyo.

Mfano; vitu vya asili kama vile aina ya udongo, uoto wa asili na hali ya hewa kama vile uelekeo wa upepo kuzama na kuchomoza kwa jua (Hapa utahitaji sana data za watu wa Mamlaka ya hali ya hewa kwa eneo husika ili upate taarifa sahihi)

na vitu visivyo asili i.e man made features lama zipo mfano miundombinu ya barabara, maji, umeme n.k

B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis:
Hii ni hatua muhimu sana kabla ya kuanza usanifu wa ramani ya nyumba/ jengo kwani huchambua kila kilichobainika katika Site Inventory.
Hapa ndio utaamua nyumba yako iweje ili kuendana na mazingira husika ya eneo ulilopo.

Hapa utachakata data za hali ya hewa kisha utabaini eneo husika lina tabia gani katika vipindi mbalimbali vya majira ya mwaka.

Aina mbalinbali za hali ya hewa na jinsi gani usanifu wa nyumba yako unapaswa kuwa:
1. Maeneo ya Joto: Hapa yamegawanyika katika makundi mawili yaani:

Hot and humid climate (Maeneo yenye joto na hali ya hewa ya unyevunyevu - ukanda wa pwani na maziwa makuu) na

Hot and dry climate (Maeneo ya joto yenye ukavu - Maeneo ya kati ya nchi ambayo yapo mbali na bahari na maziwa)

2. Maeneo yenye baridi

1. Nini cha kuzingatia katika maeneo ya joto?

a. Uelekeo wa Nyumba (Orientation of building)
- Sehemu ndefu ya nyumba itazame Kaskazini na kusini

Screenshot_20210902-075730_LinkedIn.jpg


Kipindi cha jua kali upande wa mashariki na magharibi ndio hupigwa jua la moja kwa moja hivyo kufanya hivi hupunguza athari za jua la moja kwa moja kuingia kwenye sehemu kubwa ya nyumba kupitia kwenye madìrisha.

ii. Madirisha makubwa:
Ukubwa wa madirisha usiwe chini ya mita za mraba 15 - 20 za eneo la mita za mraba za sakafu ya chumba husika.

iii. Mzunguko wa hewa wa kuingia na kutoka katika vyumba (Cross Ventilation):

Hili ni suluhisho la tatu ambapo hewa ya asili inayoingia inaruhusiwa kutoka kwa upande mwingine na hivyo kuwezesha kupunguza makali ya joto katika nyumba.

Crossventilation.jpg
cross_ventilation_2.jpg

iv. Uoto wa asili:
Katika mazingira ya nje/landscape unashauriwa kupanda miti ya vivuli inayostawi mwaka mzima ili kusaidia kupoza ukali wa jua kuzunguka nyumba yako
.................................................................................
Itaendelea
 
Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni.

Twende kwenye mada!

Kuna baadhi yetu nyumba zetu hugeuka makaburi wakati wa joto ila feni hugeuka mkombozi huku tukiomba Tanesco wasikate umeme.

Yumkini hufahamu katika hatua za awali kabisa za usanifu kuna baadhi ya mambo hayakwenda sawa hivyo kukoleza makali ya joto. Lakini wengine changamoto hii hupungua kwa kiasi kikubwa.

Hatua za ujenzi:
01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)
02. Hatua za Usanifu ramani /Schematic Design (SD)
03. Hatua ya uendelezaji usanifu ramani /Design Development (DD)
04. Uandaaji wa Michoro ya Kujengea/ Construction Drawings (CD)
05. Ujenzi /Construction

Kwa leo mada yetu itagusa sana kipengele cha kwanza kwani ndio kiini cha mada yetu.

01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)

Katika hatua hii kuna mambo ya msingi mengi ambayo yataamua kutoa taswira katika hatua zingine za usanifu. Vitu hivyo huibuliwa katika hatua ya kwanza ambayo:

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
Hii ni orodha ya vitu ambavyo kiwanja chako kinakuwa kinavyo au kupakana navyo.

Mfano; vitu vya asili kama vile aina ya udongo, uoto wa asili na hali ya hewa kama vile uelekeo wa upepo kuzama na kuchomoza kwa jua (Hapa utahitaji sana data za watu wa Mamlaka ya hali ya hewa kwa eneo husika ili upate taarifa sahihi)

na vitu visivyo asili i.e man made features lama zipo mfano miundombinu ya barabara, maji, umeme n.k

B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis:
Hii ni hatua muhimu sana kabla ya kuanza usanifu wa ramani ya nyumba/ jengo kwani huchambua kila kilichobainika katika Site Inventory.
Hapa ndio utaamua nyumba yako iweje ili kuendana na mazingira husika ya eneo ulilopo.

Hapa utachakata data za hali ya hewa kisha utabaini eneo husika lina tabia gani katika vipindi mbalimbali vya majira ya mwaka.

Aina mbalinbali za hali ya hewa na jinsi gani usanifu wa nyumba yako unapaswa kuwa:
1. Maeneo ya Joto: Hapa yamegawanyika katika makundi mawili yaani:

Hot and humid climate (Maeneo yenye joto na hali ya hewa ya unyevunyevu - ukanda wa pwani na maziwa makuu) na

Hot and dry climate (Maeneo ya joto yenye ukavu - Maeneo ya kati ya nchi ambayo yapo mbali na bahari na maziwa)

2. Maeneo yenye baridi

1. Nini cha kuzingatia katika maeneo ya joto?

a. Uelekeo wa Nyumba (Orientation of building)
- Sehemu ndefu ya nyumba itazame Kaskazini na kusini

View attachment 1920483

Kipindi cha jua kali upande wa mashariki na magharibi ndio hupigwa jua la moja kwa moja hivyo kufanya hivi hupunguza athari za jua la moja kwa moja kuingia kwenye sehemu kubwa ya nyumba kupitia kwenye madìrisha.

ii. Madirisha makubwa:
Ukubwa wa madirisha usiwe chini ya mita za mraba 15 - 20 za eneo la mita za mraba za sakafu ya chumba husika.

iii. Mzunguko wa hewa wa kuingia na kutoka katika vyumba (Cross Ventilation):

Hili ni suluhisho la tatu ambapo hewa ya asili inayoingia inaruhusiwa kutoka kwa upande mwingine na hivyo kuwezesha kupunguza makali ya joto katika nyumba.

View attachment 1920492View attachment 1920491
iv. Uoto wa asili:
Katika mazingira ya nje/landscape unashauriwa kupanda miti ya vivuli inayostawi mwaka mzima ili kusaidia kupoza ukali wa jua kuzunguka nyumba yako
.................................................................................
Itaendelea

asante sana
 
Inadaiwa
Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni.

Twende kwenye mada!

Kuna baadhi yetu nyumba zetu hugeuka makaburi wakati wa joto ila feni hugeuka mkombozi huku tukiomba Tanesco wasikate umeme.

Yumkini hufahamu katika hatua za awali kabisa za usanifu kuna baadhi ya mambo hayakwenda sawa hivyo kukoleza makali ya joto. Lakini wengine changamoto hii hupungua kwa kiasi kikubwa.

Hatua za ujenzi:
01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)
02. Hatua za Usanifu ramani /Schematic Design (SD)
03. Hatua ya uendelezaji usanifu ramani /Design Development (DD)
04. Uandaaji wa Michoro ya Kujengea/ Construction Drawings (CD)
05. Ujenzi /Construction

Kwa leo mada yetu itagusa sana kipengele cha kwanza kwani ndio kiini cha mada yetu.

01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)

Katika hatua hii kuna mambo ya msingi mengi ambayo yataamua kutoa taswira katika hatua zingine za usanifu. Vitu hivyo huibuliwa katika hatua ya kwanza ambayo:

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
Hii ni orodha ya vitu ambavyo kiwanja chako kinakuwa kinavyo au kupakana navyo.

Mfano; vitu vya asili kama vile aina ya udongo, uoto wa asili na hali ya hewa kama vile uelekeo wa upepo kuzama na kuchomoza kwa jua (Hapa utahitaji sana data za watu wa Mamlaka ya hali ya hewa kwa eneo husika ili upate taarifa sahihi)

na vitu visivyo asili i.e man made features lama zipo mfano miundombinu ya barabara, maji, umeme n.k

B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis:
Hii ni hatua muhimu sana kabla ya kuanza usanifu wa ramani ya nyumba/ jengo kwani huchambua kila kilichobainika katika Site Inventory.
Hapa ndio utaamua nyumba yako iweje ili kuendana na mazingira husika ya eneo ulilopo.

Hapa utachakata data za hali ya hewa kisha utabaini eneo husika lina tabia gani katika vipindi mbalimbali vya majira ya mwaka.

Aina mbalinbali za hali ya hewa na jinsi gani usanifu wa nyumba yako unapaswa kuwa:
1. Maeneo ya Joto: Hapa yamegawanyika katika makundi mawili yaani:

Hot and humid climate (Maeneo yenye joto na hali ya hewa ya unyevunyevu - ukanda wa pwani na maziwa makuu) na

Hot and dry climate (Maeneo ya joto yenye ukavu - Maeneo ya kati ya nchi ambayo yapo mbali na bahari na maziwa)

2. Maeneo yenye baridi

1. Nini cha kuzingatia katika maeneo ya joto?

a. Uelekeo wa Nyumba (Orientation of building)
- Sehemu ndefu ya nyumba itazame Kaskazini na kusini

View attachment 1920483

Kipindi cha jua kali upande wa mashariki na magharibi ndio hupigwa jua la moja kwa moja hivyo kufanya hivi hupunguza athari za jua la moja kwa moja kuingia kwenye sehemu kubwa ya nyumba kupitia kwenye madìrisha.

ii. Madirisha makubwa:
Ukubwa wa madirisha usiwe chini ya mita za mraba 15 - 20 za eneo la mita za mraba za sakafu ya chumba husika.

iii. Mzunguko wa hewa wa kuingia na kutoka katika vyumba (Cross Ventilation):

Hili ni suluhisho la tatu ambapo hewa ya asili inayoingia inaruhusiwa kutoka kwa upande mwingine na hivyo kuwezesha kupunguza makali ya joto katika nyumba.

View attachment 1920492View attachment 1920491
iv. Uoto wa asili:
Katika mazingira ya nje/landscape unashauriwa kupanda miti ya vivuli inayostawi mwaka mzima ili kusaidia kupoza ukali wa jua kuzunguka nyumba yako
.................................................................................
Itaendelea
Inadaiwa ni hatar kuotesha miti kuzunguka nyumba ya kuishi kwani usiku hushindana na binaadam kuvuta oxygen na kutoa carbon dioxide
 
Asante sana mleta uzi... bonge la elimu. Siku hizi tunanunua ramani barabarani, mambo mengine yatajulikana site, hatari sana.
 
Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni.

Twende kwenye mada!

Kuna baadhi yetu nyumba zetu hugeuka makaburi wakati wa joto ila feni hugeuka mkombozi huku tukiomba Tanesco wasikate umeme.

Yumkini hufahamu katika hatua za awali kabisa za usanifu kuna baadhi ya mambo hayakwenda sawa hivyo kukoleza makali ya joto. Lakini wengine changamoto hii hupungua kwa kiasi kikubwa.

Hatua za ujenzi:
01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)
02. Hatua za Usanifu ramani /Schematic Design (SD)
03. Hatua ya uendelezaji usanifu ramani /Design Development (DD)
04. Uandaaji wa Michoro ya Kujengea/ Construction Drawings (CD)
05. Ujenzi /Construction

Kwa leo mada yetu itagusa sana kipengele cha kwanza kwani ndio kiini cha mada yetu.

01. Hatua za awali kabla ya kusanifu ramani /Pre-design Stage (PD)

Katika hatua hii kuna mambo ya msingi mengi ambayo yataamua kutoa taswira katika hatua zingine za usanifu. Vitu hivyo huibuliwa katika hatua ya kwanza ambayo:

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis

A. Muainisho wa vitu vilivyopo katika kiwanja /Site inventory
Hii ni orodha ya vitu ambavyo kiwanja chako kinakuwa kinavyo au kupakana navyo.

Mfano; vitu vya asili kama vile aina ya udongo, uoto wa asili na hali ya hewa kama vile uelekeo wa upepo kuzama na kuchomoza kwa jua (Hapa utahitaji sana data za watu wa Mamlaka ya hali ya hewa kwa eneo husika ili upate taarifa sahihi)

na vitu visivyo asili i.e man made features lama zipo mfano miundombinu ya barabara, maji, umeme n.k

B. Upembuzi wa vitu vilivyomo kwenye Kiwanja /Site Analysis:
Hii ni hatua muhimu sana kabla ya kuanza usanifu wa ramani ya nyumba/ jengo kwani huchambua kila kilichobainika katika Site Inventory.
Hapa ndio utaamua nyumba yako iweje ili kuendana na mazingira husika ya eneo ulilopo.

Hapa utachakata data za hali ya hewa kisha utabaini eneo husika lina tabia gani katika vipindi mbalimbali vya majira ya mwaka.

Aina mbalinbali za hali ya hewa na jinsi gani usanifu wa nyumba yako unapaswa kuwa:
1. Maeneo ya Joto: Hapa yamegawanyika katika makundi mawili yaani:

Hot and humid climate (Maeneo yenye joto na hali ya hewa ya unyevunyevu - ukanda wa pwani na maziwa makuu) na

Hot and dry climate (Maeneo ya joto yenye ukavu - Maeneo ya kati ya nchi ambayo yapo mbali na bahari na maziwa)

2. Maeneo yenye baridi

1. Nini cha kuzingatia katika maeneo ya joto?

a. Uelekeo wa Nyumba (Orientation of building)
- Sehemu ndefu ya nyumba itazame Kaskazini na kusini

View attachment 1920483

Kipindi cha jua kali upande wa mashariki na magharibi ndio hupigwa jua la moja kwa moja hivyo kufanya hivi hupunguza athari za jua la moja kwa moja kuingia kwenye sehemu kubwa ya nyumba kupitia kwenye madìrisha.

ii. Madirisha makubwa:
Ukubwa wa madirisha usiwe chini ya mita za mraba 15 - 20 za eneo la mita za mraba za sakafu ya chumba husika.

iii. Mzunguko wa hewa wa kuingia na kutoka katika vyumba (Cross Ventilation):

Hili ni suluhisho la tatu ambapo hewa ya asili inayoingia inaruhusiwa kutoka kwa upande mwingine na hivyo kuwezesha kupunguza makali ya joto katika nyumba.

View attachment 1920492View attachment 1920491
iv. Uoto wa asili:
Katika mazingira ya nje/landscape unashauriwa kupanda miti ya vivuli inayostawi mwaka mzima ili kusaidia kupoza ukali wa jua kuzunguka nyumba yako
.................................................................................
Itaendelea
Mada nzuri na umeelezea vizuri.

Je analysis kama hii pamoja na ramani utaweza ifanya kwa 100,000 Tsh?

(Maana watu wanataka ramani za 100k siku hizi)
 
[emoji911][emoji911]RAMANI RAMANI RAMANI[emoji911][emoji911]

■TUNACHORA RAMANI KWA BEI NAFUU SANA
■TUNAKADILIA GHARAMA ZA UJENZI
■TUNA SHAURI AINA YA UJENZI

◇HATUA(STEPS)
● Andaa hitaji lako la idadi ya vyumba
● Tunakuandalia sketch y mpangilio,mpk utapo ridhika
● Tupe size ya kiwanja chako
● Lipia advance ya kazi
● Tutachora kwa uaminifu na kuipiga mihuri tayar kwa kibali cha unenzi
● Tunakufanyia delivery ya kazi yako kwa dsm ,mikoani tuna tuma pia ,

utamalizia gharam wakati wa makabithiano wa kazi

Mawasiliano whats up cont#0768160754 au #0776590555
KARIBU TUKUHUDUMIEView attachment 1928279
Aiseee..!!
 
Back
Top Bottom