Usanii huu wa ccm ni kwa faida ya nani?

Usanii huu wa ccm ni kwa faida ya nani?

mkezwag

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
3,245
Reaction score
1,080
Ccm inalazimisha kupigwa kwa Kura ya maoni kupitisha au kuikataa katiba inayopendekezwa,katiba iliyoandikwa chini ya usimamizi wa mtu ambaye serikali ya ccm inamburuza kwenye tume ya maadili kwa kile kinachodaiwa mtu huyu Hana maadali katika utumishi wa umma.mwenyekiti wa kamati ya uandishi iliyoandika katiba ambayo ccm na mwenyekiti wao wanahaha kuhakikisha katiba hiyo inapigiwa Kura April 30.usanii wao ni Kuwa ni lini mtu mwizi na asiye na maadali anaweza kutengeneza sheria ambayo itamtia hatiani mwenyewe kutokana na kukosa kwake maadali.hivi ccm na serikali yake wapo serious na issue ya kina chenge au ni mwendelezo wahadaa dhidi ya wadanganyika?uhalali wa katiba pendekezwa uko wapi kama waandishi wake wenyewe ndo Hawa ambao hata mwaka haujapita,hata hatujaipigia Kura ya kuikubali au kuikataa tunaambiwa waandishi wake hawana maadali ,tena tumeambiwa na Mkuu wa kaya na mwenyekiti wetu.yupo wapi haji warema,mshauri wetu wa sheria wakati wa uandishi wa katiba pendekezwa,yupo wapi prof Tibaijuka,Ngereja,muhongo na wengine.sitaki kuamini Kwamba ccm wamebaki vipofu watupu?
 
Ni kwa faida ya mafisadi ndani ya chama chao cha wahuni na Serikali dhalimu ili waendelee na ufisadi dhidi ya walipa kodi wa Tanzania huku wao wakiwa mabilionea na kuficha nje ya nchi mabilioni ya pesa na kununua expensive properties katika nchi mbali mbali duniani huku huduma muhimu nchini zikiendelea kuwa duni na mamilioni ya Watanzania wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha.
 
Ni kwa faida ya mafisadi ndani ya chama chao cha wahuni na Serikali dhalimu ili waendelee na ufisadi dhidi ya walipa kodi wa Tanzania huku wao wakiwa mabilionea na kuficha nje ya nchi mabilioni ya pesa na kununua expensive properties katika nchi mbali mbali duniani huku huduma muhimu nchini zikiendelea kuwa duni na mamilioni ya Watanzania wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha.
mkuu watanzania wengi by the time tunashituka Kwamba ccm haitufai na haina nia njema kwetu tutakuwa kaburini .ccm imeshafanya kila aina ya uovu dhidi ya mtanzania but still kuna watu wanaamini kiongozi bora wa nchi hii ataendelea kutoka ccm
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu hawa wahuni wanajua fika kwenye ballot box hawana chao na ndio sababu kubwa wakafanya uhuni na wizi wa hali ya juu ili kuyapiga chini maoni ya Watanzania kuhusu katiba mpya kama yalivyokusanywa na tume ya Warioba.

Sasa hivi wamebaki kutegemea kubaki madarakani kupitia migongo ya vitengo vyao vya Tume ya uchaguzi na vyombo vya dola ambavyo vitafanya kila uhuni, unyanyasaji, kuruhusu rushwa na ikiwezekana kutia vilema na kuua pia ili tu MACCM waendelea kuitawala nchi.

Katika miaka 10 inayokatika mwaka huu hakuna lolote lile la maana walilolifanya mishahara bado ni duni sana, hospitali zetu hazina vifaa muhimu na hazina madawa, maji na umeme bado vinapatikana kwa shida sana na gharama zake zinazidi kupaa ukilinganisha na ongezeko la mishahara. Elimu yetu ndio imezidi kuanguka si ajabu katika Afrika ya Mashariki na ya kati nchi ambayo elimu yao iko chini mno ni Tanzania hata Rwanda na Burundi wako juu yetu. Nchi ambayo shule zake ziko katika hali ya kusikitisha pia Tanzania tunaongoza kwanini wazijali shule zetu wakati watoto wao hawatii mguu ndani ya shule hizi.

Wizi, ufisadi na rushwa ndio vimezidi kushamiri sasa mpaka ndani ya Ikulu na kama ulivyoona wahusika akina "milioni 10 hela ya mboga" "Joka lenye makengeza halilazi damu pale ambapo kuna opportunity ya kutengeneza pesa" "Mifuko yangu yoye imejaa mapesa" na wengineo wanakuwa na viburi vya hali ya juu lakini Mkubwa wao wa kazi kimyaaaa hakuna anayefukuzwa hata mmoja, Yule naibu kamishna wa TRA katia ndani 80 million bado yuko kazini wakati kishapoteza credibility ya kuendelea kuwepo pale TRA.

Sasa chama chenye rekodi mbaya kama hii kweli kwenye uchaguzi wa haki na huru kinaweza kushinda!? Jibu ni hapana ndio maana watafanya kila la haramu wawezalo kulifanya ili wapate ushindi mwingne wa "Tsunami" na kuendelea kuiangamiza Tanzania.



mkuu watanzania wengi by the time tunashituka Kwamba ccm haitufai na haina nia njema kwetu tutakuwa kaburini .ccm imeshafanya kila aina ya uovu dhidi ya mtanzania but still kuna watu wanaamini kiongozi bora wa nchi hii ataendelea kutoka ccm
 
Ccm inalazimisha kupigwa kwa Kura ya maoni kupitisha au kuikataa katiba inayopendekezwa,katiba iliyoandikwa chini ya usimamizi wa mtu ambaye serikali ya ccm inamburuza kwenye tume ya maadili kwa kile kinachodaiwa mtu huyu Hana maadali katika utumishi wa umma.mwenyekiti wa kamati ya uandishi iliyoandika katiba ambayo ccm na mwenyekiti wao wanahaha kuhakikisha katiba hiyo inapigiwa Kura April 30.usanii wao ni Kuwa ni lini mtu mwizi na asiye na maadali anaweza kutengeneza sheria ambayo itamtia hatiani mwenyewe kutokana na kukosa kwake maadali.hivi ccm na serikali yake wapo serious na issue ya kina chenge au ni mwendelezo wahadaa dhidi ya wadanganyika?uhalali wa katiba pendekezwa uko wapi kama waandishi wake wenyewe ndo Hawa ambao hata mwaka haujapita,hata hatujaipigia Kura ya kuikubali au kuikataa tunaambiwa waandishi wake hawana maadali ,tena tumeambiwa na Mkuu wa kaya na mwenyekiti wetu.yupo wapi haji warema,mshauri wetu wa sheria wakati wa uandishi wa katiba pendekezwa,yupo wapi prof Tibaijuka,Ngereja,muhongo na wengine.sitaki kuamini Kwamba ccm wamebaki vipofu watupu?

Uongeapo kitu usikurupuke kisa una hasira zako!! wapi pameandikwa kwamba Mhe. Chenge ndiye aliandika Katiba Inayopendekezwa? yeye si alikuwa kwenye Kamati kama walivyokawa wengine katika kamati mbalimbali?! sasa suala la kusema eti CCM inalazimisha ipigiwe kura kwa kuwataja viongozi hao uliowataja ukimaanisha nini? hao watu wote ulowataja hawahusiani kabisa na elimu ya kuisoma na kuielewa Katiba Inayopendekezwa.
 
mkuu watanzania wengi by the time tunashituka Kwamba ccm haitufai na haina nia njema kwetu tutakuwa kaburini .ccm imeshafanya kila aina ya uovu dhidi ya mtanzania but still kuna watu wanaamini kiongozi bora wa nchi hii ataendelea kutoka ccm

Kuna wajinga humu si Chadema wala Ccm wanaamini eti Lowasa ndo raisi bora,mara wengine Membe,mara Pinda.....uchafu tu.......si lazima rais atokee Ccm pekee......
 
Ni kwa faida ya mafisadi ndani ya chama chao cha wahuni na Serikali dhalimu ili waendelee na ufisadi dhidi ya walipa kodi wa Tanzania huku wao wakiwa mabilionea na kuficha nje ya nchi mabilioni ya pesa na kununua expensive properties katika nchi mbali mbali duniani huku huduma muhimu nchini zikiendelea kuwa duni na mamilioni ya Watanzania wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha.

Ukisikia kuishiwa hoja ndo huko, unabaki unajiongelesha hata mambo yasiyo na msingi. nenda kaisome Katiba pendekezwa uelimike kwani hata wewe inakugusa kwa namna moja ama nyingine na hata watoto wako wa hapo baadae.
 
Acha ujinga wewe!!! Katiba hii ni ya Watanzania na si ya wahuni, wauza unga, magaidi, majangili, wapokea rushwa waliojaa ndani ya MACCM. Haina lolote katiba hii linalonigusa. Hawa wahuni wanaona jinsi ufisai, wizi na rushwa vinavyoshamiri nchini halafu katiba ya wahuni hawa iko kimya kabisa kuhusu maadili ya uongozi. Utaahira wako peleka Lumumba.

Ukisikia kuishiwa hoja ndo huko, unabaki unajiongelesha hata mambo yasiyo na msingi. nenda kaisome Katiba pendekezwa uelimike kwani hata wewe inakugusa kwa namna moja ama nyingine na hata watoto wako wa hapo baadae.
 
Uongeapo kitu usikurupuke kisa una hasira zako!! wapi pameandikwa kwamba Mhe. Chenge ndiye aliandika Katiba Inayopendekezwa? yeye si alikuwa kwenye Kamati kama walivyokawa wengine katika kamati mbalimbali?! sasa suala la kusema eti CCM inalazimisha ipigiwe kura kwa kuwataja viongozi hao uliowataja ukimaanisha nini? hao watu wote ulowataja hawahusiani kabisa na elimu ya kuisoma na kuielewa Katiba Inayopendekezwa.
kama hujui ni heri unyamaze, Bw.Chenge ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya uandishi wa katiba pendekezwa. Wakaaaaandika katiba ya hovyo hovyo, Ninayo nakala hapa, kama ikipitishwa itakuwa moja ya katiba ya hovyo kabisa na sisi Watz tutakuwa wa hovyo kabisa kuipitisha katiba ya hovyo

Kwa hiyo kama nawe unaiunga mkono katiba ya Sutta na Chenge, basi hata ww utakuwa hovyo hovyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukisikia kuishiwa hoja ndo huko, unabaki unajiongelesha hata mambo yasiyo na msingi. nenda kaisome Katiba pendekezwa uelimike kwani hata wewe inakugusa kwa namna moja ama nyingine na hata watoto wako wa hapo baadae.
kama hujaisoma ni heri unyamaze, ile katiba pendekezwa iliyoandikwa na Mzee wa Vijisenti, haina future yoyote kwa wana wetu. Bali wanawetu watatulaumu sana kama ikipita na najua itapitishwa hata kwa hila. Ila ni ya hovyo hovyo,kama unaiunga mkono nawe ni wa hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom