kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,876
Ice cold beer plz.........
mtanisamehe sehemu nilizo changanya lugha.
usawa wa kijinsia maana yake ni kwamba wanaume na wanawake ni sharti wapate same treatment unless there is sound biological reason for different treatment.
Kabla ya UN & co kuchukua hili swala na kuliweka official through declaration of human rights,
kuna mwana mama kwa jina Ann Lee alikuwa preacher wa kundi la wa kristo waliojulikana kama shakers kwa style yao ya kucheza kwa kushake mnamo karne ya 18,
Ann maarufu kama mother ann lee alifundisha kuwa inawezakana kuishi ktk utukufu bila kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi
even thou yeye alikuwa na mume
ila mahusiano yao hayakuwa mazuri sababu alipata mimba nne na zote ziliharibika, later on mume wake ali mkimbia,hata ivo mume mwenyewe alilazimishwa kuolewa na wazazi wake
so probably alikuwa hampendi.
Ann lee ndio aliye introduce usawa wa kijinsia kwan wafuasi wake waliishi separate wanaume ki vyao wanawake kivyao
na wanawake walikua free kufanya watakalo bila kuingiliwa
later on ndio wanakuja UN & co kuhalalisha ushetani huu eti mwanamke awe sawa na mwanaume? Kitu ambacho ni kinyume na sheria ya mungu and also against nature...
Unamkumbuka lucifer?
Na rebelion aliyo anzisha mbinguni??
Isaya 14:13-14
verse 14 inasema "nitapaa kupita viimo vya mawingu, nitafanana na yeye aliye juu.
Hayo maneno ya shetan ya kutaka kuwa kma mungu,
shetan rebelion aliyoianza mbinguni ya kupindisha sheria ya mungu akaja bustan ya eden akamdangaya eve then eve akamshawish adam kula tunda
ndio inayoendelea had leo hii,
from biblical point of view
women shud never be equal or above men much less they are not even allowed to preach
1 timothy 2:11-15
verse 12 inasema
"simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha,wala kutawala mwanamme, bali awe katika utulivu".
1 corinthias 14; 34-35
verse 35 inasema "nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu mwanamke kunena katika kanisa.
Utasoma mwenyewe zifuatazo
ephesians 5:23-24
1 peter 3:1-22
and so many
so when did God changed his law and make women an equal to men ??
Women equality is clearly a rebelion against God law engineered by satan yule yule aliyetimuliwa mbinguni kwa kutaka kujifananisha na mungu
ni wazi kwamba tangu mwanzo shetan alitaka kuwa kma mungu
any thoughts za mwanamke kuwa kma mwanmme na mwanaume kuwa kma mwanamke ni satanic.
na nimpango wa satan, wa kutengeneza dunia yenye serikali moja ambayo yeye ni mtawala
(new world order) kwahyo moja ya mbinu zake ni violation of principles set by GOd himself.
na kuleeta hii unlimited freedom eti we can live as we wish
still doubting??
Anne lee alisema alipokea revelation eti women shud be equal to men this is ridiculous
and probably alipokea kutoka kwa shetan
kma vile mmoja wa waanzilishi wa satanism Aleister crowley alivo sema amepata revelation kuwa everyone shud live as his or her wishes,
(do what thou wilt)
how could GOd give people a revelation to violate his own law??
Still doubting??
American is told by prophecy as a footage of satan empire on earth
ann lee wa living in manchester england eti baada ya kupata revelation aka hamia new york US
connect the dots ni mpango wa shetan kumvuta kwenye centre of his empire ili implimentation ya mpango wake wa kumfanya mwanamke kuwa equal na mwanaume uwe rahisi.
so why pastors dont preach this even though its written in the bible??
I dont know but kama wange preach hii
wakina joyce meyer, getrude rwakatale etc etc tunge wapata wapi??
Excuse my swanglish
another beer waitresss
mtanisamehe sehemu nilizo changanya lugha.
usawa wa kijinsia maana yake ni kwamba wanaume na wanawake ni sharti wapate same treatment unless there is sound biological reason for different treatment.
Kabla ya UN & co kuchukua hili swala na kuliweka official through declaration of human rights,
kuna mwana mama kwa jina Ann Lee alikuwa preacher wa kundi la wa kristo waliojulikana kama shakers kwa style yao ya kucheza kwa kushake mnamo karne ya 18,
Ann maarufu kama mother ann lee alifundisha kuwa inawezakana kuishi ktk utukufu bila kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi
even thou yeye alikuwa na mume
ila mahusiano yao hayakuwa mazuri sababu alipata mimba nne na zote ziliharibika, later on mume wake ali mkimbia,hata ivo mume mwenyewe alilazimishwa kuolewa na wazazi wake
so probably alikuwa hampendi.
Ann lee ndio aliye introduce usawa wa kijinsia kwan wafuasi wake waliishi separate wanaume ki vyao wanawake kivyao
na wanawake walikua free kufanya watakalo bila kuingiliwa
later on ndio wanakuja UN & co kuhalalisha ushetani huu eti mwanamke awe sawa na mwanaume? Kitu ambacho ni kinyume na sheria ya mungu and also against nature...
Unamkumbuka lucifer?
Na rebelion aliyo anzisha mbinguni??
Isaya 14:13-14
verse 14 inasema "nitapaa kupita viimo vya mawingu, nitafanana na yeye aliye juu.
Hayo maneno ya shetan ya kutaka kuwa kma mungu,
shetan rebelion aliyoianza mbinguni ya kupindisha sheria ya mungu akaja bustan ya eden akamdangaya eve then eve akamshawish adam kula tunda
ndio inayoendelea had leo hii,
from biblical point of view
women shud never be equal or above men much less they are not even allowed to preach
1 timothy 2:11-15
verse 12 inasema
"simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha,wala kutawala mwanamme, bali awe katika utulivu".
1 corinthias 14; 34-35
verse 35 inasema "nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu mwanamke kunena katika kanisa.
Utasoma mwenyewe zifuatazo
ephesians 5:23-24
1 peter 3:1-22
and so many
so when did God changed his law and make women an equal to men ??
Women equality is clearly a rebelion against God law engineered by satan yule yule aliyetimuliwa mbinguni kwa kutaka kujifananisha na mungu
ni wazi kwamba tangu mwanzo shetan alitaka kuwa kma mungu
any thoughts za mwanamke kuwa kma mwanmme na mwanaume kuwa kma mwanamke ni satanic.
na nimpango wa satan, wa kutengeneza dunia yenye serikali moja ambayo yeye ni mtawala
(new world order) kwahyo moja ya mbinu zake ni violation of principles set by GOd himself.
na kuleeta hii unlimited freedom eti we can live as we wish
still doubting??
Anne lee alisema alipokea revelation eti women shud be equal to men this is ridiculous
and probably alipokea kutoka kwa shetan
kma vile mmoja wa waanzilishi wa satanism Aleister crowley alivo sema amepata revelation kuwa everyone shud live as his or her wishes,
(do what thou wilt)
how could GOd give people a revelation to violate his own law??
Still doubting??
American is told by prophecy as a footage of satan empire on earth
ann lee wa living in manchester england eti baada ya kupata revelation aka hamia new york US
connect the dots ni mpango wa shetan kumvuta kwenye centre of his empire ili implimentation ya mpango wake wa kumfanya mwanamke kuwa equal na mwanaume uwe rahisi.
so why pastors dont preach this even though its written in the bible??
I dont know but kama wange preach hii
wakina joyce meyer, getrude rwakatale etc etc tunge wapata wapi??
Excuse my swanglish
another beer waitresss