Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Usiembo ukakutana na Used ya Kichina.......................!!!Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Mkuu issue ni tatu:Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Hahahahaaaa!!!!!Kikiwa used kinakua na expiriensi!Au hujui?
Wengine tunazungumzia spea za mwili wa binadamu we unatuletea mastori ya maspea ya machuma. Stuka!!Mkuu issue ni tatu:
1) udhibiti hafifu na wakusikitisha katika kuingiza bidhaa nchini! Kila kitu kinaingia hata kama ubora wake ni mdogo sana. Hii imepelekea spare part fake na zenye ubora hovyo kuongia
2) tabia yetu waswahili kupenda rahisi,
3) kumbuka tanzania tulikuwa na mashine tools industries, zimekufa kifo kibaya. Viwanda hivi vilikuwa vinatengeneza spares za aina zote kwa gharama nafuu kabisa, hasa spare parts za magari na mitambo ambazo you couldnt get them in the maduka!
Wengine tunazungumzia spea za mwili wa binadamu we unatuletea mastori ya maspea ya machuma. Stuka!!
Afu we demu wangu yuzd unajua navokumisi?:lock1:Hajiongezi au kwa kiswahili cha sasa si mbayuwayu.
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Afu we demu wangu yuzd unajua navokumisi?:lock1:
eeerrrrr!!Wengine tunazungumzia spea za mwili wa binadamu we unatuletea mastori ya maspea ya machuma. Stuka!!
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!
Ni kwanini lakini?
Wengine tunazungumzia spea za mwili wa binadamu we unatuletea mastori ya maspea ya machuma. Stuka!!