@@@ ..."Used" "Spare" PART...@@@

Hebu tema mate chini ibilisi asije akafanya kweli. Yaani mimi kukuchukia ni ngumu kama glasi kuchukia bia.:scared:
 
Hebu tema mate chini ibilisi asije akafanya kweli. Yaani mimi kukuchukia ni ngumu kama glasi kuchukia bia.:scared:



Jamani ODM Usitaniwe? lol.... Hata mimi Nimeku miss... It seems mambo yamekua mengi....

Hivi unapo pata spare part na ukajua kabisa ilikotoka na mwenyewe hajaridhia kuiachia, unachukua uamuzi gani vile?
 
Kifaa ni "used" lakini bado kinauzwa kama "spare" na watu wenye kumiliki vifaa vya moto wanakimbilia "kukinunua"...! Mafundi wanakushauri eti ni bora ununue "used" kuliko "kipya"...!

Ni kwanini lakini?

Vipya vingi ni vua mkandarasi
 
Jamani ODM Usitaniwe? lol.... Hata mimi Nimeku miss... It seems mambo yamekua mengi....

Hivi unapo pata spare part na ukajua kabisa ilikotoka na mwenyewe hajaridhia kuiachia, unachukua uamuzi gani vile?
Uzuri spare part ukiona haifiti unaachana nayo au unaitupilia mbali unatafuta nyingine. Tofauti na spare tyre inakaa tu mpaka tyre nyingine ipate matatizo ndo inatumiwa tena kwa muda tu lol
 
Marhaba Husny... mzima wewe? Nimekumiss my favourite niece... lini unakuja home?

nimekumiss pia aunt, nitakuja nyumbani nikimaliza kifungo. Msalimie uncle na cousins wangu.
 
Uzuri spare part ukiona haifiti unaachana nayo au unaitupilia mbali unatafuta nyingine. Tofauti na spare tyre inakaa tu mpaka tyre nyingine ipate matatizo ndo inatumiwa tena kwa muda tu lol


Hapana shem.... naona hujanipata...lol. Inafiti kabisa.... na ni spate part sio tyre... acha urahisi wa kusolve matatizo kisa tu ni mvivu kurudi kwenye manual book ulo tupa kwenye tool box :wink2:
 

Memo,

Majibu yako ni mazuri sana...ila nadhani mie nimefeli mtihani,

Sorry....sitaki mtu aniite nduguye yule binti...Mwanaa.......!!!


Babu DC!!
 
Memo,

Majibu yako ni mazuri sana...ila nadhani mie nimefeli mtihani,

Sorry....sitaki mtu aniite nduguye yule binti...Mwanaa.......!!!


Babu DC!!


Mzee DC Memo hawajamuelewa tu... yupo ndani ya topic kabisa ila tu kenda deep! lol... No wonder hujaelewa.... hahaha
 
Hapana shem.... naona hujanipata...lol. Inafiti kabisa.... na ni spate part sio tyre... acha urahisi wa kusolve matatizo kisa tu ni mvivu kurudi kwenye manual book ulo tupa kwenye tool box :wink2:
Sasa shem we mwenyewe umesema kuwa mwenyewe spare hajaridhia kuiacha, kama hajaridhia kuiacha unategemea utaipataje?? Uiibe au? Na wizi wa spare part unafikiri ni rahisi? Yani ukaifungue mwenyewe anakuangalia tu? Uje uifunge mwenyewe anakuangalia tu? Afu gari lake litatembeaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…