Mkuu Crumpy Crumper umeiona picha ya hiyo spear???Jina la spear au picha yake tafadhali??
Nimeiona chief, kuna jamaa nimecheki kaniambia mpaka monday ataniangalizia kama inaweza kupatikanaMkuu Crumpy Crumper umeiona picha ya hiyo spear???
Air valve inaitwa , mtafute fundi mzuri wa upepo wa magari makubwa anaeza akakufanyia modification ukafunga valve ya gari nyingine yenyeSpear yenyewe ninayohitaji ni hiko kidude chenye vitundu tundu kwa chini jina lake kitaalamu sijajua kinaitwaje ila kazi yake ni kucheua upepo uliozidi kwenye mitungi ya upepo.
View attachment 937678View attachment 937679
Kumbe inawezekana pia kufanya modification!!! Ngoja nimsikilizie huyo jamaa wa spear kesho ikishindikana itabidi nifanye hivyo mkuu. Ahsante kwa ushauri.Air valve inaitwa , mtafute fundi mzuri wa upepo wa magari makubwa anaeza akakufanyia modification ukafunga valve ya gari nyingine yenye
Chief! Jamaa katafuta kakosa, jaribu kufanyia modify, otherwise ukanunue brand newAaah poa poa chief ngoja tuvute subira.