Usemi wa kuwa tajiri hafungwi huenda ukawa na ukweli

Usemi wa kuwa tajiri hafungwi huenda ukawa na ukweli

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ilikua ni familia ya watoto watatu, wa kwanza wa kike, wa pili wa kiume na watatu wa kike. Yule mtoto wa kwanza alimaliza darasa la 12 na kupelekwa kwa mama mdogo kujifunza ujuzi. Mume wa mama mdogo ni mbunge na ana biashara nyingi ikiwemo mini supermarket, mgahawa na nyumba ya kulala wageni.

Alitokea mmoja wa wageni wa mume wa mama mdogo alimuelewa yule bint kutoka bush na alimuoa, jamaa alikua mhasibu huko Wilayani. Baada ya harusi binti alikua na kwake. Sasa yeye ndiye nyota ya Jaha nyumbani kwao. Kaka yake amemaliza shule na anawasaidia wazazi shambani.

Mwaka wa pili binti hajakamata ujauzito, wakati huo mdogo wa mwisho amemaliza form four nae amekwenda kukaa kwa dada. Si unajua mjini asubuhi kuna chai na maziwa ya Nido ukibahatika unapata na mkate wenye blueband.

Kale katoto kalipenda tamthilia, usiku dada yake alikwenda kulala na kukaacha sebuleni kakiangalia movie za Kinigeria na English yake ya form four A. Shemeji akirudi anakakuta tena kamevaa upande wa kitenge kifuani. Shemeji alianza mazoea. Haijapita miezi miwili kabinti kana mimba ya shemeji.

Shemeji kuona ameyaharibu alikwenda kwa wakwe na matofali kama 2,000 anataka kuwajengea nyumba ya kisasa pembeni ya pale wanapokaa na ikiisha awafungulie wholesaler store pale ilipo nyumba ya sasa hivi.

Yule shemeji anae lima na wazee shambani alipigwa milioni tano akatafute biashara ya kufanya. Baada ya kuyaweka hayo sawa amerudi mjini anamwambia mama kijacho arudi kwa wazazi kabla dada hajastuka na kutapika tapika kwake.

Kabinti kamerlid kijijini baba anauliza mimba ni yana ni kusema ni ya shemeji baba alikataa. Baada ya kuulizwa sana aliwaambia jibu lile lile ilibidi waamini. Shemeji alikua na shida ya mtoto vibaya sana na baba mkwe amepewa nyumba na duka ananwambia mkwe haya tutayamaliza kifamilia usiwe na shida.
 
Tabu ya mabinti wa sasa hawana adabu sijui ni malezi nafikiri wakinamama unaelewa zaidi mapungufu yako wapi kila kukicha kuwatega shemeji zao sasa ole walo ukutane na mwenye akili atakuendesha mpaka unyooke ili mfiche siri.
 
pia inaweza kuwa ni strategies ya familia ili mali isiende mbali na mama na binti wakawa wanajua vizuri
 
Tabu ya mabinti wa sasa hawana adabu sijui ni malezi nafikiri wakinamama unaelewa zaidi mapungufu yako wapi kila kukicha kuwatega shemeji zao sasa ole walo ukutane na mwenye akili atakuendesha mpaka unyooke ili mfiche siri
Hawa mabinti wakitaka kwenda kwa dada inabidi mama yao aende nao na wakae siku tatu ya nne wanaaga.
 
Ni kitu cha kweli. Nenda gerezani kaangalie, hakuna tajiri kule, hata aliyeko kule hatakaa muda mrefu. Magerezani wamejaa masikini tu. matajiri wana pesa nyingi kuweza kuhonga au kulipa wakili wa kumtetea.
 
Mimi kwangu sitaki cha mdogo wangu Wala binamu kama kusaidiwa nitamsaidia akiwa nyumbani na sio kwangu, maumivu ya mume kukusaliti na ndugu ni makubwa mno
 
"Pesa pesa, pesa ndio sabuni ya roho nasemaa.......

Mwenye pesa mwenye pesa sio mwenzio nasemaa.

..... Kila penye uzia ooooh wewe penyeza rupiaa, jamani pesa ooooh zinavunja mabonde na milima... "

Rip Mbaraka Mwishehe, ulitupaga kawimbo kenye kufafanua nguvu ya pesa
 
Hawa mabinti wakitaka kwenda kwa dada inabidi mama yao aende nao na wakae siku tatu ya nne wanaaga.
kumchunga binadamu kazi sana na hasa akiwa mwanamke ambaye amepewa uwezo wa kutekeleza mission yake kwa uhakika bila kukosea; akiamua atachomoka naye tu.
ipo kesi moja ya binti mmoja alivyomkamata mkaka wa watu bila kutegemea mwisho wa siku mkaka akaanguka bila kutarajia.
aliombwa tu simu dukani tena mbele za watu kuwa ambip rafiki yake kumbe kajibibu kilichofuata ni masege za maharaba na mkaka akakamatwa kama kuku mwenye mdondo
hivyo sio mchezo! hebu jaribu tu kufikiria ukutane na binti wa pwani au tanga aliechezwa halafu akapita kwenye movies za kizungu zile mnaziita kichen party ambazo baadhi na nyingi zimekuwa Bed party unategemea nini.
ukweli MWENYEZI MUNGU atusaidie si kwa kizazi hiki kisichokuwa na aibu na woga hata kidogo
 
Ilikua ni familia ya watoto watatu, wa kwanza wa kike, wa pili wa kiume na watatu wa kike. Yule mtoto wa kwanza alimaliza darasa la 12 na kupelekwa kwa mama mdogo kujifunza ujuzi. Mume wa mama mdogo ni mbunge na ana biashara nyingi ikiwemo mini supermarket, mgahawa na nyumba ya kulala wageni.

Alitokea mmoja wa wageni wa mume wa mama mdogo alimuelewa yule bint kutoka bush na alimuoa, jamaa alikua mhasibu huko Wilayani. Baada ya harusi binti alikua na kwake. Sasa yeye ndiye nyota ya Jaha nyumbani kwao. Kaka yake amemaliza shule na anawasaidia wazazi shambani.

Mwaka wa pili binti hajakamata ujauzito, wakati huo mdogo wa mwisho amemaliza form four nae amekwenda kukaa kwa dada. Si unajua mjini asubuhi kuna chai na maziwa ya Nido ukibahatika unapata na mkate wenye blueband.

Kale katoto kalipenda tamthilia, usiku dada yake alikwenda kulala na kukaacha sebuleni kakiangalia movie za Kinigeria na English yake ya form four A. Shemeji akirudi anakakuta tena kamevaa upande wa kitenge kifuani. Shemeji alianza mazoea. Haijapita miezi miwili kabinti kana mimba ya shemeji.

Shemeji kuona ameyaharibu alikwenda kwa wakwe na matofali kama 2,000 anataka kuwajengea nyumba ya kisasa pembeni ya pale wanapokaa na ikiisha awafungulie wholesaler store pale ilipo nyumba ya sasa hivi.

Yule shemeji anae lima na wazee shambani alipigwa milioni tano akatafute biashara ya kufanya. Baada ya kuyaweka hayo sawa amerudi mjini anamwambia mama kijacho arudi kwa wazazi kabla dada hajastuka na kutapika tapika kwake.

Kabinti kamerlid kijijini baba anauliza mimba ni yana ni kusema ni ya shemeji baba alikataa. Baada ya kuulizwa sana aliwaambia jibu lile lile ilibidi waamini. Shemeji alikua na shida ya mtoto vibaya sana na baba mkwe amepewa nyumba na duka ananwambia mkwe haya tutayamaliza kifamilia usiwe na shida.

Dah hii kitu imetokea kwa ndugu yangu kabisa my elder brother japokuwa yeye na mke wake walikuwa na watoto ila akatembea na mdogo wa mke wake…na akawafanyia wakwe mambo kama hayo na wakwe wakatulia tu mpaka leo amezaa na mdogo wa wife wake na fresh tu
 
Dah hii kitu imetokea kwa ndugu yangu kabisa my elder brother japokuwa yeye na mke wake walikuwa na watoto ila akatembea na mdogo wa mke wake…na akawafanyia wakwe mambo kama hayo na wakwe wakatulia tu mpaka leo amezaa na mdogo wa wife wake na fresh tu
I can imagine unapeleka kesi kwa baba, ametoka kushushiwa bati 100 siku mbili zilizopita. Unaambiwa rudi kwa mume wako, kwanza ulimuaga kuwa unakuja huku?
 
Mhubiri 7:12
[12]Kwa maana hekima ni ulinzi, kama vile fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.

For wisdom is a defence, and money is a defence: but the excellency of knowledge is, that wisdom giveth life to them that have it.
 
Ilikua ni familia ya watoto watatu, wa kwanza wa kike, wa pili wa kiume na watatu wa kike. Yule mtoto wa kwanza alimaliza darasa la 12 na kupelekwa kwa mama mdogo kujifunza ujuzi. Mume wa mama mdogo ni mbunge na ana biashara nyingi ikiwemo mini supermarket, mgahawa na nyumba ya kulala wageni.

Alitokea mmoja wa wageni wa mume wa mama mdogo alimuelewa yule bint kutoka bush na alimuoa, jamaa alikua mhasibu huko Wilayani. Baada ya harusi binti alikua na kwake. Sasa yeye ndiye nyota ya Jaha nyumbani kwao. Kaka yake amemaliza shule na anawasaidia wazazi shambani.

Mwaka wa pili binti hajakamata ujauzito, wakati huo mdogo wa mwisho amemaliza form four nae amekwenda kukaa kwa dada. Si unajua mjini asubuhi kuna chai na maziwa ya Nido ukibahatika unapata na mkate wenye blueband.

Kale katoto kalipenda tamthilia, usiku dada yake alikwenda kulala na kukaacha sebuleni kakiangalia movie za Kinigeria na English yake ya form four A. Shemeji akirudi anakakuta tena kamevaa upande wa kitenge kifuani. Shemeji alianza mazoea. Haijapita miezi miwili kabinti kana mimba ya shemeji.

Shemeji kuona ameyaharibu alikwenda kwa wakwe na matofali kama 2,000 anataka kuwajengea nyumba ya kisasa pembeni ya pale wanapokaa na ikiisha awafungulie wholesaler store pale ilipo nyumba ya sasa hivi.

Yule shemeji anae lima na wazee shambani alipigwa milioni tano akatafute biashara ya kufanya. Baada ya kuyaweka hayo sawa amerudi mjini anamwambia mama kijacho arudi kwa wazazi kabla dada hajastuka na kutapika tapika kwake.

Kabinti kamerlid kijijini baba anauliza mimba ni yana ni kusema ni ya shemeji baba alikataa. Baada ya kuulizwa sana aliwaambia jibu lile lile ilibidi waamini. Shemeji alikua na shida ya mtoto vibaya sana na baba mkwe amepewa nyumba na duka ananwambia mkwe haya tutayamaliza kifamilia usiwe na shida.
Nimeipenda hio mila yangu inaruhusu hio kitu tena kwa kuoa wote wawili
 
Situation ya hivyo inauma sana. imagine dada mtu atajisikiaje
 
Uyo jamaa ana laana ya kwao uko, tabia za kibazazi hizo dhambi zingine ata shetani anaogopa
 
Aiseee. Mm wazazi wanaoendekeza njaa huwa siwapendi na Nina wadharau sana nawaona niwapumbavu
 
Mimi kwangu sitaki cha mdogo wangu Wala binamu kama kusaidiwa nitamsaidia akiwa nyumbani na sio kwangu, maumivu ya mume kukusaliti na ndugu ni makubwa mno
uweze mzuia binadamu mwenye akili timamu Kwa njia hiyo, kama kadhamiria na mme wako ni legelege atampata tu ata akiwa mbali
 
Back
Top Bottom