njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
kam aataanza morrison au kibu siku hiyo ajue kwamba kazi yake ni kukaa nusu uwanja kumsaidia zimbwe dhidi ya adebayor la sivyo tutaliz hapa na ikiwezekana jamani wajaribu mashuti nje ya 18 na washambulie kwa kasi build up iko slow sanaWao waandae passport za kuja kwa mkapa tunawasubiri
Maajabu yapo kwenye mpira wa miguuRs Berkane
Simba
Naona milango yao yakusonga mbele i waz tofauti na timu nyigne za group D
View attachment 2158639
Fact ila ungekuwa ulishafanya kaz kwenye zile betting company usingezungumzia maajabu zaid ya kutumia takwumu kutoa point.Maajabu yapo kwenye mpira wa miguu
Yaani Kama Utopolo Wanavyofanyiwa!Team nyingi za kiarabu zinabebwa kwenye CAF