USGN waishtaki Rs Berkane CAf kwa "zengwe" lao na mwamuzi Mwarabu mwenzao

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Duh kwa kweli aiseee jamaa full time unaambiwa walikuwa wanabonga kiarabu na huyo mmisri awapendelee wanajua wakiongea Kifaransa wa Niger watawasikia inanikumbusha yule aliyemtukana kanoute tusi zito kwa mama yake kwa kiarabu kumbe dogo anakijua akamla mtama wa nguvu.

 
Rs Berkane
Simba
Naona milango yao yakusonga mbele i waz tofauti na timu nyigne za group D

 
Maajabu yapo kwenye mpira wa miguu
Fact ila ungekuwa ulishafanya kaz kwenye zile betting company usingezungumzia maajabu zaid ya kutumia takwumu kutoa point.
Hayo maajabu yanajulikana huya yapo na ndo maana mhindi anapiga na kupgwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…