ushabiki huu wa ligi ya uingereza ni too much sasa.hatari....

huwezi kunielewa
walionielewa so far wameelewe ninachozungumza
again narudia,sizungumzii kero ya kwangu individual.....
weather hasara sijazitaja au la haliondoi pointi hapa

Aisee!!HONGERA!!
 
sijazungumza kama kero yangu binafsi
na sijasema watu wasishabikie mpira....

na nimeuliza hapo kama society hatupati hasara hapo?
unafahamu lolote kuhusu assimilation ya culture thru vitu kama sports???????/
Athari zipo mkuu jana tulipokuwa tunaangalia mechi pembeni yangu walikaa mme-arsenal na mkewe-man u na wamevaa jezi kabisa,halftime magoli yakiwa 3-1 njemba ikamtelekeza mkewe wa ndoa pale na kuondoka zake bila hata ya kumuaga,maskini mke wa watu baada ya dakika 15 kuona kimya akasimama na kuondoka na teksi,sasa hapa utasema hamna athari kweli ? huko nyumbani kulikuwa na amani kweli ?

Mi sipendi ushabiki. Timu itakayoshinda ndio yangu. Sishangilii hadi mpira uishe nijue nani kashinda.
Kuanzia leo sweety we ni Yanga kwa hapa Bongo na Arsenal kwa Uingereza sawa eeh!
 

Nyeusi: mkuu toleo la kitu gani, gazeti? jarida? au?
Nimependa sana uliyoyaandika hapo juu..hiki ni chakula cha fikra...
Lakini hapo kwenye maandishi mekundu umeniacha kidogo..huyo mwandishi ni mzungu au? Kama ndio argument yako ya msingi inakua inakosa credibility kwani huyu mzungu hawezi kumfumbua macho muafrika au mtanzania kwa kiwango ambacho umejaribu kukieleza...kuna school of thought moja inaitwa post colonial theory; hii ipo katika masuala ya siasa za ekolojia..msingi wa skuli hiyo ni kuandikwa historia na mambo ya Afrika na waafrika wenyewe..rewriting history throught the minds of the colonised..naomba ufafanuzi.
 
naona hunielewi kabisaaa<br />
nilichofanya hapa sio ku condemn<br />
but kutoa opinion na kuacjia wengine wazungumze<br />
nimeuliza swali hapo,je hakunahasara as societyt??????/
<br />
<br />
kwa kauli na mtazamo wako ninahakika wewe nawe ni shabiki wa arsenal, pole sana!
 


mkuu sory kwa kutomtaja muandishi hapo
siyo article yangu
raia mwema,johnson mbwambo...
 
unasahau matatizo kwa kuwaongezea pesa waingereza?<br />
hivi unajua kila mtanzania anaetazama ligi ya uingereza anawalipa waingereza?????<br />
pesa????????
<br />
<br />
najua boss,,,ila watz wanaondoa stress
 
Weekend bila Premier league haiendi kabisa!
kwanza ligi ya uingereza umeturahisishia njia ya kupata VIZA kutoka kwa wake zetu bila maswali mengi!
 
Sasa kama binafsi haijakukera...wala hujaona/hujui kama kuna athari/hasara yoyote kwa jamii inayoweza kutokana huo ushabiki iweje umeanza kwa kucondemn?!
Nshajua we shabiki wa Asenali
pole bibie!!!!!!!!!!
 
Media inaseaidia sana katika kufanya watu wapende kitu. Media za wingereza zimesaidai sana kuteka washabiki wa mpira na sa hivi karibia dunia nzima inatizama EPL, mi nakumbuka kuna wakati ITV ilikua inaonyesha sana ligi ya NBA, kama sikusei ilikua katitkati ya miaka ya Tisini na vijana wengi hasa wa sekondari walipenda mpira. kwa hiyo kama Media zetu zitajika sana sana katika kushabikia ligi ya kwetu pamoja na watu kupenda ligi za nje bado kuna uwezekano mkubwa kwa watu kuendelea kuzipenda ligi za kwetu. sasa hivi karibia kila mkoa una redio kwa hiyo kama hizi redio zikitumika vizuri kuhamasisha watu wa eneo hilo kuipenda timu yao hapo nadhani tutaanza kujenga "loyality" kama vile ilivyo wingereza yaani kila watu wa mji fulani wanapenda timu ya mji wao regardless kua hiyo timu inafanya vizuri au haifanyi vizuri.
kuna wakati pia kipindi cha ITV cha michezo cha jumapili kilikua kina promote sana mchezo wa ngumi yaani kila jumapili Izack Gamba lazima azungumzie mapambano ya ngumu na hii ikasababisha watu kuanza kuupenda mchezo wa ngumi na kwenye mapambano watu walikua wanafurika sana.
 
Premier imesheheni the best players kutoka pembe zote za dunia,kutokana na hili quality ya premier football ni ya kiwango cha juu hivo kuvutia mashbiki wengi.
Kuhusu cultura assimilation versus kupenda cha kwetu "tukubali ya ishe" American cultural conquest ni dhahiri. Shuhudia American cultural influence maishani mwetu: cocacola,gillete,hiphop and jazz,proudly wear levi and strauss jeans. American cultural carpet bombing is victorious halina ubishi. Chinua Achebe said we have had a different past, strictly speaking we will have same future. I do agree.
 
Weekend bila Premier league haiendi kabisa!
kwanza ligi ya uingereza umeturahisishia njia ya kupata VIZA kutoka kwa wake zetu bila maswali mengi!
Rejao hilo nalo neno.Cheki avatar yangu.
 
yaani sijui nani atanifariji mwenzenu its so painful maweeeeeeee uwiiiii

Pole sana bebii ndio matatizo yakushabikia timu ambazo azieleweki lakini usikate tamaa ni mapito tu hayo mwambie prof wenger asajili.
 
Hata hivyo wizara ya afya imetoa onyo kali sana kuhusu mashabiki wa arsenal.
 
hata hivyo wizara ya afya imetoa onyo kali sana kuhusu mashabiki wa arsenal.
yaani kweli naitaji matibabu maalum kumbe ndo maana nilivotoa thread ya kutafuta rafiki nikasema lazima awe arsenal fan sijapata mtu eeh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…