Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wameanza kuelewa saivi, kelele zimepungua sana.
Yaani ni tabia za kichawi si bureHabari za muda wanajanv,kuna vitu ambavyo vinanifanya nifikirie mambo ambayo sina majibu ya kuyajibu zaidi ya kuona kama ni upungufu wa kufikiri, Watanzania ktk mambo mazuri waga tunapenda sana kubaki nyuma kwa namna moja ama nyingine,hatujabahatika kua na ikon ya Taifa zaidi ya msanii DIAMOND na Hayati JK NYERERE na huo ndio ukweli uliotukuka, Kila mtu anahaki ya kuchagua akipendacho kama Simba na Yanga,ila ikija ishu ya taifa star anacheza na nani basi wote ndani,,,sasa kwann kwa DIAMOND NA ALIKIBA?
Maana yake ALIKIBA wakimchagua BET team flani tupige majungu,DIAMOND wakimchagua BET basi team flan tupige majungu pia kumuangusha,kwann tunapenda kushabikia team ambazo hujui viwanja vyake wala benchi lake la ufundi???tusipende kufata mikumbo ya kijinga na maneno ya chuki kwamba namchukia flan,ukiulizwa kwann utasikiA mara ooh anaringa sana na kujisikia simpendi kweli mie,wakati hujawai kuonana nae ana kwa ana hata siku moja,izo ni roho za kichawi,unaweza usimpende lkn ktk simu,tab,ipad,computer yako haikosekanimo NANA OR CHEKETUA,sasa hapo humpendi vipi kama sio unaa????pia unaweza usimpende lkn % kubwa ya familia yako wanapenda hao wasanii,
Kwenye ishu ya kimataifa tupeane sapoti za kutosha bila majungu,ila zikija ishu za ndani kwa ndani basi wekeni ushabiki na izo team mchangani zenu
Oya nyie m.a.fa.la kuweni basi na akili za kiume mana wengine mna ndevu na watoto mnashindwa kufanya vitu vya maana mna komaa na upuuzi tu yani mnaboa kichizi ningekuwa na uwezo futa makundi yote ya Team zenu za k.i.f.a.l.a
pita kachukue na gambe kabisa, mbona walazimisha wanaume wa hapa waamue ugomvi kwani ndo wanawatumaga mchambane?hakuna refa hapa, yani na mie nawasapoti hawa wanaume bega kwa bega mkichambana nanunua ugonvi nawachochea kikwelikweli ha ha ha #kirohombayaTrehe tehe teheee aiiiiiiiiiiii.
Nyie wanaume wenye midevu mmesikia? Badala nyie muamue watu wakigombana ndo kwanza nyie mnatukana sijui mnachambana ni wanafiki nyie mashushushu wa kufa mtu yani id za kiume ila nina wasiwasi na uanaume wenu itakua ni wa surual tuu na vidada vinajichekesha chekesha kama viuza bar!
Aiiiiii ngoja niendelee kupita zangu
pita kachukue na gambe kabisa, mbona walazimisha wanaume wa hapa waamue ugomvi kwani ndo wanawatumaga mchambane?hakuna refa hapa, yani na mie nawasapoti hawa wanaume bega kwa bega mkichambana nanunua ugonvi nawachochea kikwelikweli ha ha ha #kirohombaya
Alafu-halafuWewe nawe ni....... acha nisitukane tuu. ILa fanya yako sio lazima uni quote upo? Wazoee hao hao mbuzi mee uliowazoea hapa ni moto wa kuotea mbali kama ulikua unatqka pa kupatia breakfast apa sio mahala pake we shankupe. Mazoea na wew sitaki fanya yako nifanye yangu.
Alafu sina tym ya ku argue na mjinga that y toka kitambo nimewapotezea sasa wew nishobokee ukizani mimi nina mashine mimi ni Ke upo?? Sina cha kukuridhisha nacho.
TEMBEA NA GEPU
Alafu-halafu
apa-apa
wanaume msiamue hata akilia machozi ya damu make sahivi kilio chake ni wanaume waamue
kuquote siachi kama comment ikiwa hapa labda ukakoment pm ndo sitaweza huna moto wowote kidagaa
haha ha hata mi najua umepunguza munkari kuzurura zurura hapa kama paka wa bar
narudia tena ukichambwa huamuliwiiii lia sasa
Nyooo wa kunichamba nani? Wew usiyejua ata kuosha uchi? Au kuna mwingine?? Heheheiyaaaaaaaa umetumwa eeee? Mwambie aliye kutuma aje na yeye nyang'au wakubwa nyie. Unaandika kama unatapika kwenda zako wew nishakuambia kawashobokee wanaume ulio wazoea wakutibu sio mimi maana vijiti vitakuhusu.
Nakwambia shukuru mungu jf kuna ban ningekuharia mpaka uchanganyikiwe.
Baki na ujinga wako.
utalia sana na ukileta ujinga ni kuchambwa tu hakuna wa kukuamua maana hakuna namna shwain.....Trehe tehe teheee aiiiiiiiiiiii. Nyie wanaume wenye midevu mmesikia? Badala nyie muamue watu wakigombana ndo kwanza nyie mnatukana sijui mnachambana ni wanafiki nyie mashushushu wa kufa mtu yani id za kiume ila nina wasiwasi na uanaume wenu itakua ni wa surual tuu na vidada vinajichekesha chekesha kama viuza bar!
Aiiiiii ngoja niendelee kupita zangu