Ushabiki wa YANGA unanipotezea poz la Valentine

Ushabiki wa YANGA unanipotezea poz la Valentine

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Kusema kweli mi ni mshabiki wa Yanga, kwa hiyo naichukia Simba. Kutokana na hilo sijawahi kuvaa wala kumnunulia mpnz wangu nguo nyekundu. Tena huwa siko comfortable nikiambatana nae akiwa amevaa nguo nyekundu. Hivi hakuna rangi nyingine special kwa Valentine?
 
Kusema kweli mi ni mshabiki wa Yanga, kwa hiyo naichukia Simba. Kutokana na hilo sijawahi kuvaa wala kumnunulia mpnz wangu nguo nyekundu. Tena huwa siko comfortable nikiambatana nae akiwa amevaa nguo nyekundu. Hivi hakuna rangi nyingine special kwa Valentine?

Hiyo tai kwenye avatar yako rangi gani vile!?
 
Kusema kweli mi ni mshabiki wa Yanga, kwa hiyo naichukia Simba. Kutokana na hilo sijawahi kuvaa wala kumnunulia mpnz wangu nguo nyekundu. Tena huwa siko comfortable nikiambatana nae akiwa amevaa nguo nyekundu. Hivi hakuna rangi nyingine special kwa Valentine?

Kaka hii nakuunga mkono tuko wengi. Kuna siku nililetewa zawadi na my wife rangi nyekundu ilibidi niseme asante lakini moyoni mwangu mmmhh..... huu upenzi mwingine balaa tupu. Hata tukienda kununua kitu hata kiwe kizuri so long as ni chekundu basi nitatafuta ujanja wa kudiscourage kionekane kibaya.
 
Red ndo rangi ya valentine,ila kama huwezi full nyekundu,hata yenye element za nyekungu hutaki?mfano gauni yenye nyeupe na nyekundu? au basi gauni nyeusi na belt na viatu vyekundu??? nafikiri waweza mix up kama nyekundu full ndo yakukera!!!
 
Mwambie avae nguo ya black na kiatu cha chekundu au kibanio, atapendeza sana. Si lazima kuvaa red.
 
Pole, hakuna mbadala hapo red haikwepeki.
 
Siku hizi valentine watu hawavai vitu vyekundu angalia movie ile ya valentines day iliyohusisha mastar kibao hakuna aliyevaa nguo nyekundu. Kwa hiyo we kesho jivalie suti yako na njano shati la kijani tai njno na viati njano wala hakuna neno.
 
Back
Top Bottom