ushahidi kuwa fedha za Ruzuku kwa wanafunzi haziwafikii walengwa

ushahidi kuwa fedha za Ruzuku kwa wanafunzi haziwafikii walengwa

Brine

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
375
Reaction score
71
Attached document ni tangazo kutoka kwa mkuu wa shule ya nkomang'ombe, hata kama ni ufisadi this is too much, je tutafika?
 

Attachments

  • Nkoman g'ombe.jpg
    Nkoman g'ombe.jpg
    727.8 KB · Views: 43
Hatutafika kamwe! Serikali inasema, udahili wa wanafunzi wa darasa la saba ni 97%. Takribani wote wanahitimu bila ya kujua kusoma na kuandika. Ukombozi wa kweli hautofikiwa ikiwa kama Taifa linaua vipaji vya watoto.
 
Back
Top Bottom