Ushahidi: Sasa nimeamua kukashtaki haka kakijana kanakonichafua kwenye mtandao

Kuna mwanaJF alienda kwa kiduku lilo alitokwa na machozi akasema eti friji la Kiduku Lilo ni kama chumba kidogo.
Kwenye simulizi ipi hiyo jambo hili lilitokea😀😀😀😀
 
Dah! Amekudhalilisha sana kwa kweli! Nashauri uwaajiri Shirika la ujasusi Mossad pamoja na CIA ili wamsake kijana maana hilo jambo ni zito....na akipatikana itabidi apelekwe Guantanamo chini ya ulinzi mkali wa maroketi ili iwe fundisho kuchezea watu wazito.
Eti Boss Kiduku lilo anapiga nyeto!! Nimelia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo screenshot uliopigia ni tecno au infinix gan mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana naona kitu ya line mbili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua simu mzee
Hakuna cm kali yenye line mbili plus android one
Only tecno na infinix
Na inavyoonesha hiyo cm haina 4g
Mana kwa DSM line na cm ya 4G sikuzote zinasoma 3G full mtandao
Ni kama mtu line isome E af mtandao uko nusu[emoji23][emoji23]
inaonekana ni Mashine Sana hio Simu
Sio Tecno,Infinix,Samsung wala iPhone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…