ushahidi upi unakubalika mahakamani

ushahidi upi unakubalika mahakamani

medrickrobert

Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
58
Reaction score
9
nina mtuhumiwa wangu ambaye ni mwizi. niliibiwa ndani lakini sikufanikiwa kumkamata wala kumwona. ila vielelezo vyote kutoka kwa watu wake wa karibu vinadhibitisha yeye ni mwizi wa kudumu mtaa nnaoishi.na wapo aliowahi kuwaibia na wakamwona wakayamaliza juu kwa juu. nilimpeleka mahakamani lakini ushahidi unahitajika na hatujamkamata na hvyo vitu maana kwa taarifa tuliyopata akiiba huwa anavisafisha usiku huo huo. na naamini 100% huyo ndo kaniibia kutokana na mazingira fulani ukiyatathmini unajua tu nfo huyo
 
Hamna kesi hapoo mkuu, kapambane na hali yako mpaka utakapo mkamata live, yaani jamaa apo anashinda peupeeeeep
 
Funga cctv kemera kwako mkuu zile zenye night vision
 
kesi ya wizi inamaana hicho kilichoibiwa hakipo na umemkamata nacho yeye sasa ili akutwe na hatia inapaswa upelekwe huo ushaidi wa hicho kikichoibiwa ambacho ulimkamata nacho
hivyo ina maana hicho kilichoibiwa ungenikamata nacho mimi basi mahakama mimi ndo ingenikuta na hatia

hao wanaokwambia ukiwapeleka kama mashaidi wataulizwa swali moja ulimuoana wakati anaiba ? watajibuje !!?

chakufanya komaa na mpelelezi mfanye mpango mfike huko anavyovipeleka utambue vitu vyako vilivyoibiwa then mpango ama sivyo utasumbuka sana
 
kesi ya wizi inamaana hicho kilichoibiwa hakipo na umemkamata nacho yeye sasa ili akutwe na hatia inapaswa upelekwe huo ushaidi wa hicho kikichoibiwa ambacho ulimkamata bachi hivyo
ina maana hicho kilichoibiwa ungenikamata nacho mimi basi mahakama mimi ndo ingenikuta na hatia

hao wanaokwambia ukiwapeleka kama mashaidi wataulizwa swali moja ulimuoana wakati anaiba ? watajibuje !!?

chakufanya komaa na mpelelezi mfanye mpango mfike huko anavyovipeleka utambue vitu vyako vilivyoibiwa then mpango ama sivyo utasumbuka sana
kesi inasikilizwa tar 12 kama ushahidi bado hatujapata kuna haja ya kwenda
 
Hamna kesi hapoo mkuu, kapambane na hali yako mpaka utakapo mkamata live, yaani jamaa apo anashinda peupeeeeep
kwamfano akikamatwa kwa anaiba kwingine naweza kuchua kama ushahidi wa kesi yangu mahakamani
 
duuuh.. mission failed wadau

failed kweli man bila ushaidi physical utawaste muda wako na pesa pia itakuwa nenda rudi 7bu hakuna aliyemuona akiiba so utaleta mashaidi ambao wao waliibiwa na huyo ushaidi ambao mahakama utautupilia mbali
na pia kilichoibiwa hujamkamata nacho au kukimata ambapo ukaletwa ushaidi yeye ndo alokifikisha hapo ambapo ndo ushaidi mkuu hakuna pia
so akiona una ushaidi usoeleweka anaweza kucheza na ALIBI ikiwa kituoni hakuandika maelezo lkn pia ikiwa kaandika ana haki ya kuyakana akiwa na 7bu madhubuti
kwanza kilichoibiwa ni nini je yeye alikuwa mlinzi au mazingira yalikuaje
 
kesi inasikilizwa tar 12 kama ushahidi bado hatujapata kuna haja ya kwenda
inasikilizwa au inatwaja kwa mara ya kwanza kama inatajwa aina haja ya kwenda lkn unaweza kwenda kwa nia ya kumjambisha mtuhumiwa mixer nenda na jamaa ajifanye kama wakili makablasha kibao jamaa ajambejambe aombe poo
unachotakiwa kumtishatisha jamaa aogope
asikwambie mtu kusimama mbele ya court halafu wewe ndo mtuhumiwa ni shida unawezajikuta ulopanga kuongea yote yanafutika kama flash iloformatiwa
 
Back
Top Bottom