medrickrobert
Member
- Apr 25, 2017
- 58
- 9
kesi inasikilizwa tar 12 kama ushahidi bado hatujapata kuna haja ya kwendakesi ya wizi inamaana hicho kilichoibiwa hakipo na umemkamata nacho yeye sasa ili akutwe na hatia inapaswa upelekwe huo ushaidi wa hicho kikichoibiwa ambacho ulimkamata bachi hivyo
ina maana hicho kilichoibiwa ungenikamata nacho mimi basi mahakama mimi ndo ingenikuta na hatia
hao wanaokwambia ukiwapeleka kama mashaidi wataulizwa swali moja ulimuoana wakati anaiba ? watajibuje !!?
chakufanya komaa na mpelelezi mfanye mpango mfike huko anavyovipeleka utambue vitu vyako vilivyoibiwa then mpango ama sivyo utasumbuka sana
kwamfano akikamatwa kwa anaiba kwingine naweza kuchua kama ushahidi wa kesi yangu mahakamaniHamna kesi hapoo mkuu, kapambane na hali yako mpaka utakapo mkamata live, yaani jamaa apo anashinda peupeeeeep
Huwezi. Kila kesi na facts zake. Ushahidi wa kesi moja hauwezi kutumika kwa kesi nyingine vinginevyo basi kuwe na connection ktk kesi hizo.kwamfano akikamatwa kwa anaiba kwingine naweza kuchua kama ushahidi wa kesi yangu mahakamani
duuuh.. mission failed wadauHuwezi. Kila kesi na facts zake. Ushahidi wa kesi moja hauwezi kutumika kwa kesi nyingine vinginevyo basi kuwe na connection ktk kesi hizo.
duuuh.. mission failed wadau
inasikilizwa au inatwaja kwa mara ya kwanza kama inatajwa aina haja ya kwenda lkn unaweza kwenda kwa nia ya kumjambisha mtuhumiwa mixer nenda na jamaa ajifanye kama wakili makablasha kibao jamaa ajambejambe aombe pookesi inasikilizwa tar 12 kama ushahidi bado hatujapata kuna haja ya kwenda