Yule mchezaji alimtoroka mfungaji kabla mpira haujapigwa kichwa, ingekuwa mpira umetoka kwa yule aliyepiga kwa mguu ukaenda moja kwa moja kwa mfungaji pasingekuwa offsideKtk sheria ya kuotea
Kama mchezaji atamtoroka mpinzani kutengeneza offside huku mpira ukiwa umeshatolewa basi hapo hakuna offside.
Ni sawa na golikipa akirudisha mpira vibaya ukanaswa na wapinzani ikiwa watafunga si offside.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefungwa magoli mengi sana na waarabu kwa kujifanya tunacheza offside trick lile ni goli halali kabisa.Yule mchezaji alimtoroka mfungaji kabla mpira haujapigwa kichwa, ingekuwa mpira umetoka kwa yule aliyepiga kwa mguu ukaenda moja kwa moja kwa mfungaji pasingekuwa offside
Tatizo wananufaika mikia tu..mbona timu nyingine hakuna human errorsLile goli lilikua CLEAR OFFSIDE. Pia niliangalia marudio ya ile video vizuri kwenye kipindi cha KIPYENGA CHA MWISHO ilikua ni Clear offside.
Ila sio kulaumu sana kwa kuwa marefa nao ni binadamu na kuna human errors tukumbuke
Soma tena ulichoandika kwa makini halafu uone kama utaelewa kituTumefungwa magoli mengi sana na waarabu kwa kujifanya tunacheza offside trick lile ni goli halali kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app