akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Katika mkutano wa kampeni wa CUF unaoendelea sasa hivi hapa jangwani Dar es Salaam Juma Haji Duni Mgombea mwenza wa Kiti cha urais kwa tiketi ya CUF ametoa hadharani ushahidi wa barua pamoja na vitendea kazi vya kutekelezea wizi wa kura unaofanywa na Tume ya uchaguzi kwa kushirikiana na Usalama Wa CCM(uwt).
My take:
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. CCM wataaibika mno mwaka huu. Za mwizi kweli arobaini.
Jamani kwa wale wabishi mnaonaje? maana kuna mpaka barua ya tume ya uchaguzi kwenda kwa watendaji wa kata kuwataka waibe kura na kwamba atakayetoa siri atafukuzwa kazi/na kuuawa.
KAZI KWENU.
My take:
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. CCM wataaibika mno mwaka huu. Za mwizi kweli arobaini.
Jamani kwa wale wabishi mnaonaje? maana kuna mpaka barua ya tume ya uchaguzi kwenda kwa watendaji wa kata kuwataka waibe kura na kwamba atakayetoa siri atafukuzwa kazi/na kuuawa.
KAZI KWENU.