Asante kwa taarifa hiyo. Hata hivyo tunaomba ufafanue kwa zaidi huo ushaidi ni nini au ni kitu gani kinafanyika?Katika mkutano wa kampeni wa CUF unaoendelea sasa hivi hapa jangwani Dar es Salaam Juma Haji Duni Mgombea mwenza wa Kiti cha urais kwa tiketi ya CUF ametoa hadharani ushahidi wa barua pamoja na vitendea kazi vya kutekelezea wizi wa kura unaofanywa na Tume ya uchaguzi kwa kushirikiana na Usalama Wa CCM(uwt).
My take:
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. CCM wataaibika mno mwaka huu. Za mwizi kweli arobaini.
Jamani kwa wale wabishi mnaonaje? maana kuna mpaka barua ya tume ya uchaguzi kwenda kwa watendaji wa kata kuwataka waibe kura na kwamba atakayetoa siri atafukuzwa kazi/na kuuawa.
KAZI KWENU.
Katika mkutano wa kampeni wa CUF unaoendelea sasa hivi hapa jangwani Dar es Salaam Juma Haji Duni Mgombea mwenza wa Kiti cha urais kwa tiketi ya CUF ametoa hadharani ushahidi wa barua pamoja na vitendea kazi vya kutekelezea wizi wa kura unaofanywa na Tume ya uchaguzi kwa kushirikiana na Usalama Wa CCM(uwt).
My take:
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. CCM wataaibika mno mwaka huu. Za mwizi kweli arobaini.
Jamani kwa wale wabishi mnaonaje? maana kuna mpaka barua ya tume ya uchaguzi kwenda kwa watendaji wa kata kuwataka waibe kura na kwamba atakayetoa siri atafukuzwa kazi/na kuuawa.
KAZI KWENU.
Kwa taarifa hizi, Kikwete hatafanya mdahalo kesho.
Naomba na ziwe za kweli.
Mungu Ibariki Tanzania kwa kutuondolea utawala wa mafisadi.
Asante kwa taarifa hiyo. Hata hivyo tunaomba ufafanue kwa zaidi huo ushaidi ni nini au ni kitu gani kinafanyika?
Taarifa na nyaraka feki sawa na za Slaa alizopelekewa toka Tunduma za makaratasi ya kura kwenye konteina la ft 40.
Viongozi wa upinzani wanaingizwa kiulaini kwenye mitego ya kijinga halafu baadaye wanaumbuka baada ya kutangaza vitu vya uongo majukwaani.
Tufungue macho na kujifunza kutokana na makosa ya Slaa, hakuna mpango utakaotengenezwa na kuvuja kirahisi hivyo. Ni vitu vya kutengeneza kwa lengo la kuumbua viongozi
Taarifa na nyaraka feki sawa na za Slaa alizopelekewa toka Tunduma za makaratasi ya kura kwenye konteina la ft 40.
Viongozi wa upinzani wanaingizwa kiulaini kwenye mitego ya kijinga halafu baadaye wanaumbuka baada ya kutangaza vitu vya uongo majukwaani.
Tufungue macho na kujifunza kutokana na makosa ya Slaa, hakuna mpango utakaotengenezwa na kuvuja kirahisi hivyo. Ni vitu vya kutengeneza kwa lengo la kuumbua viongozi