Ushahudhuria Sherehe za Harusi/Send off za X wako wangapi? Unakumbuka nini?

Ushahudhuria Sherehe za Harusi/Send off za X wako wangapi? Unakumbuka nini?

BABU KIDUDE

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
1,587
Reaction score
916
Nikijiswali cha uzushi, nimekumbuka baada jana kuona mmoja wa X wangu akipost kumbukizi ya miaka saba ya ndoa yake, nakumbuka siku ya Send off yake nilikuwepo, na ilitokea vulumai moja baada mimi kuonekana kwenye send off party hiyo nikipigiwa Shangwe na shangazi zake kitendo kilicho wauzi miongoni kaka na Marafiki wa Bwana harusi.(Tunajuana vizuri)

Nakumbuka ukumbi wa (NBAA). Kitendo kilichopelekea kufukuzwa hapo. Unajua Tabia za Wangoni wa kike, baada ya mimi kuingia mmoja aliniona na kunifuata akanipigia magoti hapo kuinuka mpaka pesa ahh ahh nikampa buku tano, wakaenda kuitana bana ahh ahh balaa.

"Jioni Njema "
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Aise..ni Mungu asimame tu katika ndoa hakuna namna
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Huyo sio X wako sasa ni mwanamke wako unampa mtu mwingine akutunzie
 
Nikijiswali cha uzushi, nimekumbuka baada jana kuona mmoja wa X wangu akipost kumbukizi ya miaka saba ya ndoa yake, nakumbuka siku ya Send off yake nilikuwepo, na ilitokea vulumai moja baada mimi kuonekana kwenye send off party hiyo nikipigiwa Shangwe na shangazi zake kitendo kilicho wauzi miongoni kaka na Marafiki wa Bwana harusi.(Tunajuana vizuri)

Nakumbuka ukumbi wa (NBAA). Kitendo kilichopelekea kufukuzwa hapo. Unajua Tabia za Wangoni wa kike, baada ya mimi kuingia mmoja aliniona na kunifuata akanipigia magoti hapo kuinuka mpaka pesa ahh ahh nikampa buku tano, wakaenda kuitana bana ahh ahh balaa.

"Jioni Njema "

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuhudhulia harusi ya x wake
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikijiswali cha uzushi, nimekumbuka baada jana kuona mmoja wa X wangu akipost kumbukizi ya miaka saba ya ndoa yake, nakumbuka siku ya Send off yake nilikuwepo, na ilitokea vulumai moja baada mimi kuonekana kwenye send off party hiyo nikipigiwa Shangwe na shangazi zake kitendo kilicho wauzi miongoni kaka na Marafiki wa Bwana harusi.(Tunajuana vizuri)

Nakumbuka ukumbi wa (NBAA). Kitendo kilichopelekea kufukuzwa hapo. Unajua Tabia za Wangoni wa kike, baada ya mimi kuingia mmoja aliniona na kunifuata akanipigia magoti hapo kuinuka mpaka pesa ahh ahh nikampa buku tano, wakaenda kuitana bana ahh ahh balaa.

"Jioni Njema "
hata mojaa
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Duh hili swala hili[emoji848]
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Uyo bila shaka alikuwa wa kaskazini mpare au mmburu...kama nmekosea basi mngoni..

Ila Hawa wanawake..
 
Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Duuh aiseee
 
Mimi tulikuwa tumesha temana kitambo ila wala sikuwahi kuumia kila nikimuona na men wengine ila daah! Siku anaolewa nilijikuta karoho kananiuma sijui ndio wanakaita ka kisokorokwinyo hata sijuagi kwanini roho iliuma.



MAGUFULI4LIFE.
 
Naweza kuhudhuria na akihitaji msaada ninaweza kumsaidia kwanini mjenge uadui?
 
Sijawahi..ila zis month nipo kuelekea huko...😂😂 Nitarudi na mrejesho.
 
Back
Top Bottom