BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 916
Aise..ni Mungu asimame tu katika ndoa hakuna namnaNilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Huyo sio X wako sasa ni mwanamke wako unampa mtu mwingine akutunzieNilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Nikijiswali cha uzushi, nimekumbuka baada jana kuona mmoja wa X wangu akipost kumbukizi ya miaka saba ya ndoa yake, nakumbuka siku ya Send off yake nilikuwepo, na ilitokea vulumai moja baada mimi kuonekana kwenye send off party hiyo nikipigiwa Shangwe na shangazi zake kitendo kilicho wauzi miongoni kaka na Marafiki wa Bwana harusi.(Tunajuana vizuri)
Nakumbuka ukumbi wa (NBAA). Kitendo kilichopelekea kufukuzwa hapo. Unajua Tabia za Wangoni wa kike, baada ya mimi kuingia mmoja aliniona na kunifuata akanipigia magoti hapo kuinuka mpaka pesa ahh ahh nikampa buku tano, wakaenda kuitana bana ahh ahh balaa.
"Jioni Njema "
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
hata mojaaNikijiswali cha uzushi, nimekumbuka baada jana kuona mmoja wa X wangu akipost kumbukizi ya miaka saba ya ndoa yake, nakumbuka siku ya Send off yake nilikuwepo, na ilitokea vulumai moja baada mimi kuonekana kwenye send off party hiyo nikipigiwa Shangwe na shangazi zake kitendo kilicho wauzi miongoni kaka na Marafiki wa Bwana harusi.(Tunajuana vizuri)
Nakumbuka ukumbi wa (NBAA). Kitendo kilichopelekea kufukuzwa hapo. Unajua Tabia za Wangoni wa kike, baada ya mimi kuingia mmoja aliniona na kunifuata akanipigia magoti hapo kuinuka mpaka pesa ahh ahh nikampa buku tano, wakaenda kuitana bana ahh ahh balaa.
"Jioni Njema "
Duh hili swala hili[emoji848]Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Uyo bila shaka alikuwa wa kaskazini mpare au mmburu...kama nmekosea basi mngoni..Nilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Duuh aiseeeNilikutana nae ghafla Jumatatu Town akiwa kwenye maandalizi kabla ya send-off yake siku ya Alhamis, akaniambia hiyo habari ya send-off na kunisisitizia niwepo itafanyikia home kwao. Nilimpa sharti la kukumbushia kwanza ndio nitaudhuria. Kweli baada ya kumaliza shopping zake jioni nikala mzigo nikampeleka hadi karibu na kwao Mbezi nikaachana nae. Na kwenye send-off nilitimba kama kawaida.
Hata mimi siwezi labda niwe nimekufaMtu mwenye akili timamu hawezi kuhudhulia harusi ya x wake