Ushahuri Kuhusu Tazara

Ushahuri Kuhusu Tazara

justin mabula

New Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
3
Reaction score
0
Naombeni Ushahuri, Nnamdogo wangu kapata fursa ya Kusomea Locomotive Driver (Dereva wa Treni) uko Tazara ambapo wataenda somea Huko Zambia kwa muda wa miaka Miwili chet kilichotumika ni cha Form 4 na gharama za masomo na kila kitu inaweza fikia 5M je ? Ndugu zangu kwa mnavyoiyona Shirika la Tazara linaweza kuwa na Mshahara Mzuri kwel ikaleta Tija kutoa gharama zote izo ukizingatia yeye Anadegree ya Uhasibu au Anaenda kupoteza muda tena ??
Au nyinyi Mnashahuri nini
 
Back
Top Bottom