Je umewahi kumega amri ya 6 na mbilikimo?? asee usiombe mie nimetwangana nae jana sikulala usiku kucha! Achana na mbegu fupi haichoki yaani acha tu! Wale Infe... jaribuni mtaniambia utamu wake
jaribu na albino uje kutupa habari
kwani demu wako mbilikimo mbona mikwarapole sana maana naona umeshapotea...nyie ndio wale mnaoacha kuoa na kutulia na wake zenu mnakuwa kazi yenu kutafuta wanawake kila siku, ole wako nikukute na demu wangu, NI-KI-KU-KA-MA-TA-AAA:boxing::boxing::boxing:
ha!ha! ha! dah akutukanaye hakuchagulii tusi.....!!!!!!!!kwani demu wako mbilikimo mbona mikwara
usiyataje bure hayo majina ndugu utashushiwa moto wa balaa mie simo, bora utubuYesu na Maria!!