Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Sep 26, 2021 #1 Hivi Mbagala kuna nini lakini hadi watu wawe na ulimbukeni kiasi hiki ? mechi imechezwa Jumamosi lakini vigoma hadi leo Jumapili ! Aibu kubwa sana !
Hivi Mbagala kuna nini lakini hadi watu wawe na ulimbukeni kiasi hiki ? mechi imechezwa Jumamosi lakini vigoma hadi leo Jumapili ! Aibu kubwa sana !
Alexander Lukashenko JF-Expert Member Joined Sep 9, 2017 Posts 4,140 Reaction score 9,667 Sep 26, 2021 #2 Mgumba kapata mimba, Jiji zima limejaa mate
king otaligamba JF-Expert Member Joined Oct 24, 2016 Posts 2,178 Reaction score 2,033 Sep 26, 2021 #3 Ni wivu tu
dendaboy JF-Expert Member Joined Sep 15, 2016 Posts 1,085 Reaction score 742 Sep 26, 2021 #4 HUKO SI NDIO WAMAKONDE HUPATIKANA KWA WINGI SIO.
Mnyuke Jr JF-Expert Member Joined Jul 3, 2021 Posts 4,472 Reaction score 6,391 Sep 26, 2021 #5 Huku Mbagala ni mwendo wa vitarumbeta tu tangu jana mpk maji waite mma
Huyu Mimi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2019 Posts 2,575 Reaction score 2,117 Sep 26, 2021 #6 Hapo bado...
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,454 Reaction score 11,029 Sep 26, 2021 #7 Kaeni kwa kutulia. ..........Mudi fc msiwapangie watu namna ya kushangilia.
redio JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 5,813 Reaction score 12,921 Sep 26, 2021 #8 Ao ndio wananchi wenyewe Wana namnayao ya kurahia maisha, Nyie mnao Kesha club na kufurahia kisasa pia mna uhuru wenu wa kufurahia maisha kwa staili yenu. Kwa ujumla ao wote ni wananchi na wamefurahi.
Ao ndio wananchi wenyewe Wana namnayao ya kurahia maisha, Nyie mnao Kesha club na kufurahia kisasa pia mna uhuru wenu wa kufurahia maisha kwa staili yenu. Kwa ujumla ao wote ni wananchi na wamefurahi.
tony92 JF-Expert Member Joined Jul 17, 2013 Posts 2,398 Reaction score 3,691 Sep 26, 2021 #9 Kama mtu mzima mwenye miaka 30 anasherekea birthday yake sasa kwanini watu wasisherekee ushindi wa kumfunga simba? Au kuna kifungu chochote katika katiba kimevunjwa kwa kufurahia?
Kama mtu mzima mwenye miaka 30 anasherekea birthday yake sasa kwanini watu wasisherekee ushindi wa kumfunga simba? Au kuna kifungu chochote katika katiba kimevunjwa kwa kufurahia?