Ushamba wa msukuma uko wapi?

Mie kwa kuwa ni Watani zangu siku zote watabakia kuwa washamba tu kwa kweli.
kihene mayo oliho? Dele gawiza nkoy..... Msitusumbue wapiga Kura wa JIWE a.k.a Mzee wa Dona kantreeee
Uko wapi Mtani wangu msukuma.com. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwaga huko usukumani, sasa nikawa nauliza vijana eneo nililokuwa nataka kwenda wanielekeze.

Sasa katika kuongea, wale vijana wakawa hawanielewi kabisa, lkn wanajua kiswahili.

Ndipo mmoja akaniambia " KWIIINGOO UNAJUUUWAA HATUKUEREWIII, YANII TUNASIIIKIAA TUNENOO YA MWISHOO TU".

Ikabidi na mimi niongee kwa mkato mkato na kukaza maneno ndo wakanielewaa!!
 
Kwa sifa ulizoweka basi hata Nabii Eliya nae atakuwa Msukuma
 
Siwapendi hawa kuanzia wake wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…