Ushamba wa sikukuu

Ushamba wa sikukuu

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Iwe krismasi au Eid au Pasaka na sikukuu zote za Waislamu au Wakristo. Jamani Watanzania tuache ushamba wa kuweka mafoleni barabarani au malls au beach kwa ushamba tu, si upike pilau home yaishe?

Kweli unatoka Gongo la Mboto kwenda Coco beach? Au kushangaa tu malls na mnaweka mafoleni na watoto wenyewe mnawachosha na jua kali au possibility ya ajali among majanga mengine na hela zenyewe Hamna za ku enjoy sana si bora mkae home mpike basi na sehemu za kutembea chagua a neutral day tu.

Ni wazo tu si ushambulizi!
 
Watu bwana kujibu kwa hisia Yaani watanzania can't argue kabisa Cjui hata Km 1% know philosophy. Either way mnakera na kuleta vurugu kwa watu wengine so inanihusu hapo. Kujazana bila sababu na foleni na Hamna chochote cha maana
 
Huo ushamba wengine tulishauacha kitambo hata kupika hatupiki, tunapika cha kawaida tu, nguo mpya ndio hatununui kabisa. Ila unaweza ukawa na mke limbuekeni wa masikukuu atataka chakula kipya kipikwe na nguo mpya zinunuliwe. Kwa kuwa tuna watoto huwa tunawanulia nguo mpya na chakula kipya kinapikwa kwa ajili yao wafurahie sikukuu na mitoko watoke wakajumuike na watoto wenzao huko kwenye burudani zao. Watoto ndiyo wana enjoy sikukuu, watu wazima ni ushamba mtupu
 
Watu bwana kujibu kwa hisia Yaani watanzania can't argue kabisa Cjui hata Km 1% know philosophy. Either way mnakera na kuleta vurugu kwa watu wengine so inanihusu hapo. Kujazana bila sababu na foleni na Hamna chochote cha maana
Unachokiona hakina maana kwako basi ujue kina maana kwa wengine,

Hatufanani.
 
🤣🤣waache wananchi wa hali ya chini daslam wakaoshe macho mjini 🤣 mtu anakwamhia naishi daa ,ukifika anapoishi sasa lol 🤔 anyway waache wainjoi bana 🤣 nao wanapenda vitu vizuri na shekeli tu zinasumbua
 
🤣🤣waache wananchi wa hali ya chini daslam wakaoshe macho mjini 🤣 mtu anakwamhia naishi daa ,ukifika anapoishi sasa lol 🤔 anyway waache wainjoi bana 🤣 nao wanapenda vitu vizuri na shekeli tu zinasumbua
watu wa mikoani mnai overrate sana Dar. Mnashindwa kuelewa kwamba Dar ni mkoa na jiji kama yalivyo mengine. Hali zote za kimaisha lazima ziwepo.
 
Huo ushamba wengine tulishauacha kitambo hata kupika hatupiki, tunapika cha kawaida tu, nguo mpya ndio hatununui kabisa. Ila unaweza ukawa na mke limbuekeni wa masikukuu atataka chakula kipya kipikwe na nguo mpya zinunuliwe. Kwa kuwa tuna watoto huwa tunawanulia nguo mpya na chakula kipya kinapikwa kwa ajili yao wafurahie sikukuu na mitoko watoke wakajumuike na watoto wenzao huko kwenye burudani zao. Watoto ndiyo wana enjoy sikukuu, watu wazima ni ushamba mtupu
Ni wivu tu unawasumbua
 
watu wa mikoani mnai overrate sana Dar. Mnashindwa kuelewa kwamba Dar ni mkoa na jiji kama yalivyo mengine. Hali zote za kimaisha lazima ziwepo.
Mie sio wa mkoani mama,nimejenga daslam goba🙏mkoani niko kikazi tu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom