Ushamba wangu utanifanya nisiache mbegu hapa US

Ushamba wangu utanifanya nisiache mbegu hapa US

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
165
Reaction score
450
Wakuu juzi kati katika harakati zangu nikakuta tangazo. "Are you single and ready to mingle" kwa akili yangu ya kibongo nikaogopa kulisoma kwa ukaribu, ila kwa kuwa nilikuwa kwenye traffic lights nikawa nasoma kwa kuibia kabla taa hazijaruhusu kuvuka. Tangazo lilisema watu wahudhurie wakapate watoto wazuri, neno moja nililosoma liliandika "We are ready to hook you up".

Yaani nilijistukia, nikakimbia sikusoma tangazo hadi mwisho. Lakini baadae nikawaza, hapa US matukio kama haya ya kukutana na Hookers(Makahaba) ni jambo la kawaida, mimi niliogopa nini? Au nilizani niko Sangulachore ambapo watu wako busy kuangalia mtu anafanya nini.

Kesho yake nikapiga mishe zangu nikaenda kwenye tangazo, ili niende zangu kwenye tukio, kwanza ada yao ilikuwa ndogo tu, na ni ada ya mwaka mzima kwa picnics na kila kitu watakachopanga. Kwenda kwenye tangazo roho iliniuma, maana tukio lilikuwa ni la siku iliyopita ambayo nilisoma tangazo kwa woga. Nikasema nitakaa na nanii zangu hadi lini?

Nikajilaumu kidogo ila nikasema muda bado upo, ngoja wajichanganye tena, nikafanye yangu. And by the way bado niko sana huku, tofauti na kina Mpoki na Mwijaku ambao wamekuja kidogo na kusepa.

Wakuu, hizi fujo zangu mvumilie tu, maana kwenye mitandao yenye utambulisho wangu rasmi nafanya fujo zaidi ya hizi, mixer mapicha picha na mavideo tu. US mchezo. Hadi sasa nishazurura sana na bado nitazurura hadi nirudi nyumbani nitakuwa nimeenda majimbo mengi.

Yote ya yote, kwenye vipengele vingine nawawakilisha vizuri. Tuendelee kuombeana
 
5859497683364985467_97.jpg
 
H
Wakuu juzi kati katika harakati zangu nikakuta tangazo. "Are you single and ready to mingle" kwa akili yangu ya kibongo nikaogopa kulisoma kwa ukaribu, ila kwa kuwa nilikuwa kwenye traffic lights nikawa nasoma kwa kuibia kabla taa hazijaruhusu kuvuka. Tangazo lilisema watu wahudhurie wakapate watoto wazuri, neno moja nililosoma liliandika "We are ready to hook you up".

Yaani nilijistukia, nikakimbia sikusoma tangazo hadi mwisho. Lakini baadae nikawaza, hapa US matukio kama haya ya kukutana na Hookers(Makahaba) ni jambo la kawaida, mimi niliogopa nini? Au nilizani niko Sangulachore ambapo watu wako busy kuangalia mtu anafanya nini.

Kesho yake nikapiga mishe zangu nikaenda kwenye tangazo, ili niende zangu kwenye tukio, kwanza ada yao ilikuwa ndogo tu, na ni ada ya mwaka mzima kwa picnics na kila kitu watakachopanga. Kwenda kwenye tangazo roho iliniuma, maana tukio lilikuwa ni la siku iliyopita ambayo nilisoma tangazo kwa woga. Nikasema nitakaa na nanii zangu hadi lini?

Nikajilaumu kidogo ila nikasema muda bado upo, ngoja wajichanganye tena, nikafanye yangu. And by the way bado niko sana huku, tofauti na kina Mpoki na Mwijaku ambao wamekuja kidogo na kusepa.

Wakuu, hizi fujo zangu mvumilie tu, maana kwenye mitandao yenye utambulisho wangu rasmi nafanya fujo zaidi ya hizi, mixer mapicha picha na mavideo tu. US mchezo. Hadi sasa nishazurura sana na bado nitazurura hadi nirudi nyumbani nitakuwa nimeenda majimbo mengi.

Yote ya yote, kwenye vipengele vingine nawawakilisha vizuri. Tuendelee kuombeana
Akikusha unatembea na bendera ya Tz ili kutuwakilisha vyema.
 
Hiyo nchi ilivyo na sheria kali za consent na sexual assault na hii movement ya #metoo

Ungekituliza mkuu
 
Hiyo nchi ilivyo na sheria kali za consent na sexual assault na hii movement ya #metoo

Ungekituliza mkuu
Hizo sheria tumeambiwa sana, ndio maana tangu nifike sijashoboka na watoto wakitasha. Nakomaa ku-import kutoka TZ. Mungu saidia nita-import muda si mrefu
 
Always! Ndugu kibao wanatuonya hayo mambo maana kuna wengine wamezinguliwa kwa hizo vitu. Na utakuta wabongo wengi wako na watu wao waliotoka nao huku. Wanaochukua huku hadi sasa kwa watz sijaona
Utawaweza wew madem yakizungu?
 
Always! Ndugu kibao wanatuonya hayo mambo maana kuna wengine wamezinguliwa kwa hizo vitu. Na utakuta wabongo wengi wako na watu wao waliotoka nao huku. Wanaochukua huku hadi sasa kwa watz sijaona
Ningekuwa huko nisingegusa binti wa mtu na especially nisingeoa.

Hio nchi sio rafiki kwa mwanaume
 
Ni kweli, lakini ni mambo ambayo utaambiwa na kila mtu. Kwa hiyo kuwatafuta ni kujitafutia matatizo mwenyewe.
Ukiwa na kahela ka kubadilisha mboga TZ una enjoy zaidi intersexual relations kuliko huko.

Huko hela yako inakutesa.
 
Mwijaku acha hizo bwana ujue umeacha mke huku, nyege za wiki moja tu zinakushinda?
 
Back
Top Bottom