Ushangiliaji wa Mayele sasa ni upotezaji wa muda

Pharmacy zipo karibu hapo nenda chap kanunue sumu ya panya maana kitanzi kitakuchelewesha kujinyonga, badala ya kujadili mambo ya msingi unateseka na ushangiliaji wa Mayele ovyooo kabisa wewe
Acha ushoga basi.... au ushazoea huwezi kuacha tena?
 
Hilo swali nililidokeza jana, huyu mwamba anapenda kucheza na majukwaa ana ushangiliaji wenye mfanano wa kwaya

Hili swala likipotezewa na kuchukuliwa kawaida ipo siku atafunga goli atatoka nje ya uwanja achukue boda boda amfate mkewe aje naye uwanjani ashangilie goli hilo
 
Acha shombo,mpira ni burudani kama inauma chomoa uvae uende.
 
Kwani mmezuiwa kufunga na kushangilia kama papaa mayele?

Kama vipi mzuieni asifunge ili asipate nafasi ya kushangilia.
 
Acha shombo,mpira ni burudani kama inauma chomoa uvae uende.
Mpira ni burudani, basi tupe burudani ya mpira usilete burudani nyingine ambazo zinapoteza muda
 
Kwani mmezuiwa kufunga na kushangilia kama papaa mayele?

Kama vipi mzuieni asifunge ili asipate nafasi ya kushangilia.
Kwani nani kuongelea swala sisi kushindwa kufunga?'

Hapa tunazungumzia ushangiliaji wa mayele unachukua muda mrefu kukamilika na kusababisha muda mwingi kupotea
 

Kumbe sindano imekuingia na wewe

Siba Guvu Moya
 
Mpira ni burudani, basi tupe burudani ya mpira usilete burudani nyingine ambazo zinapoteza muda
Mkuu basi nenda FIFA uwape proposal ya kukataza ushingiliaji pindi goli linapofungwa. Yaani kushangilia kwa goli limekuwa mjadala mkubwa kiasi hiki? Mbona shangilia ya yule mchezaji wa Namungo Stephen Sey haikupigwa kelele za upotevu wa muda? Vipi Morrison ile shangilia yake mbona nae anatoka uwanjani anawaita wenzie anawaambia tulia tulia kisha wananengua hamkuona upotevu wa muda? Achrni hasira na Mayele kwa kujadili vitu vya visivyo na maana mnajiabisha uwezo wenu wa kufikiria
 
Psychopath cases ni nyingi sana jukwaani hapa,yaani hawa makolo ni vituko na wako biased sana kizuri kwao ni kile anacho fanya mchezaji wa makolo tu ila wengine wote ni hovyo..
 
unateseka ndugu
 
Wivu ni kitu kibaya sana aisee
 
Wivu huo kunya anye kuku akinya bata kaharisha.Angalia na kufuatilia ushangiliaji wa Morrison kuna tofauti gani na wa Kalala Mayele

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Wivu ni kitu kibaya sana aisee
Inawezekana ushabiki unawafanya msinielewe nilichokusudia.
Nimesema ushangiliaji sio tatizo ila namna inayotumika sasa ya kuanza kuwaita wengine kabla ya kuanza tendo la ushangiliaji ndo tatizo, muda unapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…