jangos
JF-Expert Member
- Dec 20, 2023
- 208
- 231
Natumai mu wazima.
Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu...
Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora".
Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa "nisepe"😂😂
Vipi we ushasikia msemo gani kitaa ukakuacha mdomo waz??
Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu...
Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora".
Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa "nisepe"😂😂
Vipi we ushasikia msemo gani kitaa ukakuacha mdomo waz??