Anapotoa hayo maji meupe yanarudi nje? Anapomaliza kutoa Maji Meupe (Sperm) kwa huyo ubavu wake mwambie asitoe hilo dushelele lake nje kwa haraka atulie japo dakika 5 ndani ya huo ubavu wakedokta, kaka yanga anasema akikutana na wa ubavu wake akitoa yale maji meupe mazito ili kutafuta mtoto anaona zinarudi, je?afanyeje ili ziende ndani kwa mamusapo
apendelee kucheza mechi iwe asubuhi kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa mbili asubuhi. Kisha uje hapa utupe Feedback.
Kwa ufahamu wangu unapokuwa umekula chakula usiku unatakiwa ulale usiku ili unapo amkaHeshima kwako mkuu,samahani unaweza nielezea kibaolojia mantiki ya kufanya hili zoezi asubuhi kwenye hiyo mida kama ulivyo shauri?